Namtafuta mkulima mzoefu wa migomba kwa kumwagilia

Namtafuta mkulima mzoefu wa migomba kwa kumwagilia

Silicon Valley

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
1,092
Reaction score
1,118
Members natumain ni wazima.

Namtafuta mkulima wa ndizi kibiashara na mzoefu vya kutosha hasa shamba la umwagiliaji tuweze kubadilishana uzoefu na kuboresha mashamba na kipato kwa ujumla.

Mfano aina za migomba na changamoto na uzalishaji wake.

Masoko yaliopo na mahitaji yake, gharama husika na namna ya kuzikabili kuzipunguza n.k.
 
Sina hakika kama hii biashara ina return ya maana sana. Labda ingia field uulize wahusika, wengi wanalima for fun.
 
Hasa huyo mshoro farm anayo tayari migomba 10,000 anaweza kukupa muongo wafate insta maana hawajaweke namba
Screenshot_20210214-065215.jpg
View attachment 1701970
 
Miche ya migomba hiyo Bei sh 3000
0755404226
Nipo kiluvya gogoni upande wa policeView attachment 1708044View attachment 1708043View attachment 1708048
Naomba kujua yafuatayo:
1.Unazo mbegu gani ? au aina gani ?
2. Wakati wa kiangazi au ukame unamwagilia ?
3. Ni aina gani ya ndizi ina soko kubwa ? au ni ipi ina bei nzuri kwa kuuza ?
4. Je shamba la migomba la kumwagilizia linaweza kulipa ? (kujiendesha na ukabaki na faida ya kutosha)
5. Ungeshauri shamba la ukubwa gani ili kufanikiwa vizuri ?
6. Shamba lako lina ukubwa gani (ukipendezewa kulijibu)
 
Shamba langu Ni zaidi ya hekari nne nimelima vitu mchanganyiko Sana !
Kuna miti ya mitiki
Miembe
Minazi
Machungwa
Limao
Ndimu
Mboga mboga
Bustani kubwa ya maua
Ma passion


Migomba Kuna
*Mzuzu
*Mtwike
*Kisukari Aina 3
*Mshare
*Ndizi bukoba
*Fia hii Ni ya bukoba.
*Mkono wa tembo

Vitu vyote sijaotesha kwa mpangilio Ila ndizi inayolipa Ni bukoba na mzuzu.na unaweza kuotesha kibiashara ila uwe mvumilivu maana inachukua miezi 9 kuanza kuvuna .
Mahitaji makuu ya mgomba Ni mbolea ya ngombe na maji .
Kama una chanzo kizuri Cha maji kwanini usivune ?
 
Shamba langu Ni zaidi ya hekari nne nimelima vitu mchanganyiko Sana !
Kuna miti ya mitiki
Miembe
Minazi
Machungwa
Limao
Ndimu
Mboga mboga
Bustani kubwa ya maua
Ma passion


Migomba Kuna
*Mzuzu
*Mtwike
*Kisukari Aina 3
*Mshare
*Ndizi bukoba
*Fia hii Ni ya bukoba.
*Mkono wa tembo

Vitu vyote sijaotesha kwa mpangilio Ila ndizi inayolipa Ni bukoba na mzuzu.na unaweza kuotesha kibiashara ila uwe mvumilivu maana inachukua miezi 9 kuanza kuvuna .
Mahitaji makuu ya mgomba Ni mbolea ya ngombe na maji .
Kama una chanzo kizuri Cha maji kwanini usivune ?
SHUKRAN SANA UBARIKIWE
 
Back
Top Bottom