Hizi Redio nyingine wanaume wa Dar tu ndo wanazijuaWakuu naomba kama kuna mwenye kumjuahuyu mtangazaji wa e.fm anaeitwa kicheko a.ka chalii ya marangu!! Aniwekee hata picha yake hapa!!huyu jamaa namkubali sana jana alikuwa anatafsiri picha kwa lugha ya kiswahili kwa kweli nimemfananisha na yule nguli lufufu!!
Hii radio pendwa sema wewe huko Katakunya kijijini huwezi jua yanayoendelea mjiniHizi Redio nyingine wanaume wa Dar tu ndo wanazijua
Ndie huyo MasaweAsante sana mkuu sory!!hivi huyu ndo kipindi hicho alikuwa anaigizaga na akina masawe na kiwewe???
Hivi wa mikoani bado mnasikiliza Radio Tanzania?Hizi Redio nyingine wanaume wa Dar tu ndo wanazijua
nimesikiliza hii redio iwashike huko huko dar huku mkoani haiwez pendwa haina mpangilio cloud itazidi kusimama daima upinzani wa kutengenezwHii radio pendwa sema wewe huko Katakunya kijijini huwezi jua yanayoendelea mjini
Clouds huku tushaisahaunimesikiliza hii redio iwashike huko huko dar huku mkoani haiwez pendwa haina mpangilio cloud itazidi kusimama daima upinzani wa kutengenezw
Cloudz hata hatusikilz wenzionimesikiliza hii redio iwashike huko huko dar huku mkoani haiwez pendwa haina mpangilio cloud itazidi kusimama daima upinzani wa kutengenezw
Mbona kila siku mnakuja na Thread za Clouds na sio EFM?Cloudz hata hatusikilz wenzio
Ishaingia kundi la TBC taifa
Huki ni E fm
sasa some tyms ,Hata wana simba huiongelea yanga, inaruhusiwa hiyo, au wana Ukawa huongelea ccm kawaida kabsa hiyoMbona kila siku mnakuja na Thread za Clouds na sio EFM?
Kiupande wangu kwenye kundi la wachekeshaji wa comedy wa eatv huyu masawe naona ni namba 1 yuko vizurinane nane walikuja bagamoyo kucheza bonanza,yeye akawah kuondoka nikakutana nae njiani,nikampa hi,akanijibu vzur tu hana zile za kujiona malaika mtu,