Namtafuta Mwana JF aliyeandika juu ya kiwanda cha mabati au ule uzi wake alisema yupo Mwanza

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Wakuu heshima kwenu.

Kama kichwa cha habari kinavojieleza naomba mnisaidie kumpata huyo mwana JF aliyeandika juu ya machine za kutengenezea mabati na nimetafuta ile thread sijaiona nadhani alisema yupo Mwanza ninahitaji nijifunze kitu kwake.
 
Anaitwa selham.

Ukigoogle neno mashine za kuteneneza bati.


Utaipata thread yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…