Namtafuta mwanafunzi wa kupanga nae chumba

Namtafuta mwanafunzi wa kupanga nae chumba

Joined
Aug 1, 2013
Posts
31
Reaction score
3
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate tanzania nimejifunza SHOTOKAN na nina GRAND BELT yenye maandish ya kichina na nimeshiriki mapambano 3.NIMETOKEA BUKOBA.KARIBUNI SANA.
 
Mkuu mbona unatutisha na hayo makombat karate,mataikondo na mataichiii...

:::::joke:::::
 
Mwenzio unataka ukamgeuze awe bag la mazoezi? Hayo mataikondo mkuu si unaweza kumwambia mwenzio mwezi mzima huu unagharamia kila kitu wewe tu, akileta ubishi anapata kipigo? Umetutisha mkuu, sidhani kama utapata mwenza kwa mtindo huo!!!
 
Hahaha! Hata miye nilikuw natafuta rum lakini kwa hayo mataikondo cjui manini haku miye utanigeuza zombie!! Nshaghairi!!
 
Mmmmh! Unatoka Bukoba we muhaya? Basi nshaghairi japo nilikuwa nna shida.
 
Nami natafuta mtu wa kushea nae aisee, sina makuu na mtu na mimi, Baba yangu anatoka Sumbawanga na mama ni mtu wa Ukerewe kisiwani. Sinaga matatizo na mtu kama ananiheshimu. Sema tu niliwahi kufukuzwa nyumba mbili za kupanga sababu ya 'maneno -maneno' ya watu. Uko tayari mkuu nikutafute?
 
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate tanzania nimejifunza SHOTOKAN na nina GRAND BELT yenye maandish ya kichina na nimeshiriki mapambano 3.NIMETOKEA BUKOBA.KARIBUNI SANA.

Niko sigimbi nina uvumilivu wa kutosha na pia nimejifunza kusoma na kuandika,nimejifunza kichina na nina shuka lenye maandishi ya kichina,nimeshiriki usomaji wa insha mara tatu.Mkuu mbona mwanzoni ulieleweka vizuri,huku mwishoni ndo umearibu kabisaa,unakuwa kama unaomba kazi.
 
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate tanzania nimejifunza SHOTOKAN na nina GRAND BELT yenye maandish ya kichina na nimeshiriki mapambano 3.NIMETOKEA BUKOBA.KARIBUNI SANA.

Mkuu umejifunza shotokan kwa Sensei Ringo au nani? Mimi mawashi geri zote zimelala hapa.
 
asijekuwa baunsa wa mtaani kwetu maana heading anataka mtu wa kupanga nae chumba ila maelezo yake ya kibabe kibabe... UNAMJUA BAUNSA WA MTAANI KWETU..??
 
Mtu wa bukoba acha mapromo! C ungekuwa umeshamaliza phd na hiyo misifa? Basi nakutafuta mimi tupange wote hata kama nasoma chuo kingine ili nifungue nawe dojo!!
 
Karibu tupange pamoja mimi nimetokea tanga,ila masuala ya usafiri popote nitagaramia mimi,hata msosi wa usiku usikupe shida,ukitaka kwenda bukoba kila wikendi nitakupa nauli,
 
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate tanzania nimejifunza SHOTOKAN na nina GRAND BELT yenye maandish ya kichina na nimeshiriki mapambano 3.NIMETOKEA BUKOBA.KARIBUNI SANA.

Yaani wewe na Lowasa aliyeenda kutafuta mvua za uchawi sawasawa.
Sawa jinsia siyo ishu ila kwa mtindo huu siji.
 
Karibu tupange pamoja mimi nimetokea tanga,ila masuala ya usafiri popote nitagaramia mimi,hata msosi wa usiku usikupe shida,ukitaka kwenda bukoba kila wikendi nitakupa nauli,

Wewe mpemba wataka nin kwa sensei? hajasema anataka umdhamini anataka mtu wa kupanga nae
 
Wahaya noma sana,mi mwenye nshomile bojo lakn najuta kuzaliwa muhaya sabAbu sisi wahaya tumejaliwa roho mbaya
 
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate tanzania nimejifunza SHOTOKAN na nina GRAND BELT yenye maandish ya kichina na nimeshiriki mapambano 3.NIMETOKEA BUKOBA.KARIBUNI SANA.
Hayo yote taichii, shotokani, grand belt yana msaada gani? Umeyaandika ili iweje? Au ndio ubukoba, taja gari, hela simu pia. Muhaya gani unalua njaa kushare chumba, panga ghorofa peke yako, by the way mimi ni mdada uko tayari tukae 1 room? Niko mwaka wa pili BBA. Masharti, no kugusa papuchi, na wala usiifikirie hata siku moja, uko tayari nipm
 
Back
Top Bottom