Goodluck7 Member Joined Mar 4, 2022 Posts 10 Reaction score 12 Dec 6, 2023 #1 Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye. Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina mazungumzo kidogo
Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye. Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina mazungumzo kidogo
Melki Wamatukio JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 6,156 Reaction score 10,974 Dec 6, 2023 #2 Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza
Goodluck7 Member Joined Mar 4, 2022 Posts 10 Reaction score 12 Dec 6, 2023 Thread starter #3 Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Mara
Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Mara
Goodluck7 Member Joined Mar 4, 2022 Posts 10 Reaction score 12 Dec 6, 2023 Thread starter #4 Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Nipo mkoa wa Mara
Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Nipo mkoa wa Mara
Melki Wamatukio JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 6,156 Reaction score 10,974 Dec 6, 2023 #5 Goodluck7 said: Nipo mkoa wa Mara Click to expand... Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia
Goodluck7 said: Nipo mkoa wa Mara Click to expand... Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia
Kinumbo JF-Expert Member Joined Dec 8, 2019 Posts 3,039 Reaction score 5,560 Dec 7, 2023 #6 Acha hizo mkuu, usimuhukumu mtu kutokana na kabila lake. Yeye kuwa Mkurya haimaanishi kuwa ana hizo tabia. Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand...
Acha hizo mkuu, usimuhukumu mtu kutokana na kabila lake. Yeye kuwa Mkurya haimaanishi kuwa ana hizo tabia. Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand...
Goodluck7 Member Joined Mar 4, 2022 Posts 10 Reaction score 12 Dec 7, 2023 Thread starter #7 Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand... Mkuu,sdhani kama wakurya wote wapo hivo ndugu yangu Kwa upande wangu mm sina tatizo
Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand... Mkuu,sdhani kama wakurya wote wapo hivo ndugu yangu Kwa upande wangu mm sina tatizo