Namtafuta Rafiki wa kushauriana kwenye mambo ya kutafuta maisha (pesa) mwenye sifa hizi

Namtafuta Rafiki wa kushauriana kwenye mambo ya kutafuta maisha (pesa) mwenye sifa hizi

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,172
Kama uzi unavyojieleza mimi ni kijana wa miaka 25 ni mwanafunzi nipo chuo mwaka wa 3.. Nitarajia kumaliza mwakani mwezi wa 7 kwetu kabisa mkoa wa mtwara Nina.. Msukumo mkubwa Sana baada ya kumaliza Masomo niingie mzigoni kusaka pesa Kwa njia ya halali nimeona nitafute partner au Rafiki wa kushare nae najua peke yangu siwezi natafuta network nimesoma vitabu vingi Sana vya jinsi ya kujitafutia pesa na kufanikisha nakuta point lazima niwe na kampani.

Sifa.. Awe Ana Nia kweli ya kutafuta pesa
Awe na tabia njema
Asiwe mpenda madem Sana rejea kitabu cha ngoswe penzi kitovu cha uzembe
Awe mwaminifu Kwa kipindi Choote.

Karibu Sana Rafik yangu njoo tuibadili Dunia inawezekana kabisa..
Awe tayari kushirikiana kusoma vitabu tupate aidia vitabu ninavyo softcopy kama Ile Think and grow rich.. Nk.

Utajiri upo kila sehemu lakini watu wengi hawajajifunza jinsi ya kuupata
 
Bwana mdogo nilijua unaomba kupata rafiki ukizingatia vyuma vinavyokaza baada ya kumaliza chuo kumbe unatafuta, wakati unayemuomba ndiyo alitakiwa aangalie vigezo vya uwezo na uaminifu wako.

Anyway vyuma vikikaza alafu ukiwa na idea ya kijasiriamali inayohitaji partnership ya mtu mwenye mtaji nitafute.
 
Nimependa mwisho ulivyomalizia " UTAJIRI UPO KILA SEHEMU LAKINI WATU WENGI HAWAJAJIFUNZA JINSI YA KUUPATA" Unadhani walioandika vitabu ili wakuuzie wapate pesa walikua wajinga?
Hebu fikiria idadi ya watu waliokisoma kitabu hiko kabla yako leo wako wapi?
Ila hongera bro utapata tu rafiki
 
Nimependa mwisho ulivyomalizia " UTAJIRI UPO KILA SEHEMU LAKINI WATU WENGI HAWAJAJIFUNZA JINSI YA KUUPATA" Unadhani walioandika vitabu ili wakuuzie wapate pesa walikua wajinga?
Hebu fikiria idadi ya watu waliokisoma kitabu hiko kabla yako leo wako wapi?
Ila hongera bro utapata tu rafiki
Kusoma na kutenda uliyosoma ni vitu viwili tofauti.

Kutenda kunahitaji utayari kama hauko tayar kubadili mtizamo baada ya kusoma huwezi fanya lolote.
 
Back
Top Bottom