Namtafuta rafikiye yangu tuliyepotezana kimawasiliano, alikuwa Dubai

Namtafuta rafikiye yangu tuliyepotezana kimawasiliano, alikuwa Dubai

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Hello wakuu!
Huyu ni rafiki yangu tulikutana hapa hapa JF.

Tulizungumza mengi sana kuhusu 'tafsiri za ndoto' karibu kila siku tunazungumza hayo.

Bahati mbaya nikapoteza simu yangu, namba yake ikapotea na ID ya JF nayo ikapotea. ID yake sikumbuki maana tulikuwa tunawasiliana zaidi kwa namba za simu

Now, nipo Dubai natamani anionyeshe viunga vya hapa Dubai (hahahahahaha!)

Najua anapitagapitaga sana huku, pls naomba nicheki PM

Huu uzi tusaidiane ku boost hadi aone.

Thanks!
 
ID yako ndiyo imepotea?

Watu wanaoongelea tafsiri za ndoto humu ni Mkuu Rakims na Mshana Jr.

Tunamu-exclude Mshana kwa sababu yupo Msata,hayupo huko Falme za Kiarabu.
 
Back
Top Bottom