Namtafuta Shael Raphael

ayanda

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2013
Posts
1,340
Reaction score
750
Naomba kuuliza wapendwa huyu mwanamke anaitwa Shael yupo pande zipi kwa anayemfahamu.Alisomaga Makongo secondary miaka hiyo.

Mwenye mawasiliano anisaidie.
 
Taja mwaka mkuuuu back in 90's au early 2000 ikibidi utaje na shiftiiii one au two by then
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…