Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 866
Ni muda kidogo umepita bila kujua huyu binti Upendo yuko wapi.Nina shida nae sana kuna kazi nataka kufanya nae..namfeel sana huyo binti.
Tafadhali kwa wale mnaofahamu aliko naomba mnijulishe tafadhali.
Asanete sana.
si vizuri kutoa contact za mtu , unless umewasiliana na Pendo mwenyewe , vilevile kama Pendo mwenyewe ni mwana JF siatasoma kisha ataamua kuchukua maamuzi juu ya kuwasiliana na GenderShe is my sister... Wasiliana nami kwenye PM na utakuwa umempata. She is also a JF member....!!!!
She is my sister... Wasiliana nami kwenye PM na utakuwa umempata. She is also a JF member....!!!!
si vizuri kutoa contact za mtu , unless umewasiliana na Pendo mwenyewe , vilevile kama Pendo mwenyewe ni mwana JF siatasoma kisha ataamua kuchukua maamuzi juu ya kuwasiliana na Gender
ni kweli gender, umejuaje? na ndio kazi yangu mpaka sasa....safii.Umewahi kufanya kazi ya ukatibu muhtasi nini? You know I can't do that.........!!
Where is she..na anafanya nini kwa sasa?
Nimekwambia ni-PM!!
si vizuri kutoa contact za mtu , unless umewasiliana na Pendo mwenyewe , vilevile kama Pendo mwenyewe ni mwana JF siatasoma kisha ataamua kuchukua maamuzi juu ya kuwasiliana na Gender
na inawezekana vilevile Pendo huyo akawa ndie masaki.....stuka
Umewahi kufanya kazi ya ukatibu muhtasi nini? You know I can't do that.........!!
ni kweli gender, umejuaje? na ndio kazi yangu mpaka sasa....safii.
haijui hata JF kwa taarifa yakoShe is my sister... Wasiliana nami kwenye PM na utakuwa umempata. She is also a JF member....!!!!
Kwani kuna ubaya gani na sisi wengine tukijua Upendo anafanya nn kwa sasa? Mnafanya siri hata vingine si vya kuficha i think she is a public figure ever since aliamua kuingia maisha p, hata mimi niko interested kujua nn anafanya kwa sasa!! Namba ya simu si vby mki-pmiana but hata gen info!!...Gender vipi ulimpata?
haijui hata JF kwa taarifa yako
watu tuna heshima zetu bana ila hapa naji-refer mwenyewe as Sipo, sijui hao wengineTumuamini nani jamani!au kuna mmoja wenu anajimegea.