Namtafuta wakala wa rasta

Namtafuta wakala wa rasta

odamae

Senior Member
Joined
Nov 5, 2020
Posts
163
Reaction score
291
Nahitaji kuanzisha biashara ya rasta tu nataka nianze na mtaji wa bero moja la sh 90000/= nilivyofanya uchunguzi lina rasta 100. Nahitaji kuuza kwa sh 1200.

Naomba msaada wa wakala pia naomba mnisaidie mtu atakayekuwa ananifanyia hii biashara niwe namlipa sh ngapi(my agent), pia shelves ziwe za mtindo gani na maoni tu mengine kiujumla mtakayoona yanafaa karibuni.
 
Elfu moja mia mbili kwa rasta utakuwa unapata faida kiasi gani kwa kila rasta? Location je? Pia umepiga mahesabu utakuwa unauza rasta ngapi kwa wiki, siku? Upo mkoa gani, wilaya gani?
 
Elfu moja mia mbili kwa rasta utakuwa unapata faida kiasi gani kwa kila rasta? Location je? Pia umepiga mahesabu utakuwa unauza rasta ngapi kwa wiki, siku? Upo mkoa gani, wilaya gani?
Lasta moja 800 hadi 900
 
Back
Top Bottom