Niambie nzuri inayopendwa kwa sasa ni ipiBrand gani ?
Maana kila brand ina watu wao.
Kuna Darling, Abuja, Angels etc
Sijui kiukweli.Niambie nzuri inayopendwa kwa sasa ni ipi
OkeiiiSijui kiukweli.
Wanawake ndio wanajua.
Lasta moja 800 hadi 900Elfu moja mia mbili kwa rasta utakuwa unapata faida kiasi gani kwa kila rasta? Location je? Pia umepiga mahesabu utakuwa unauza rasta ngapi kwa wiki, siku? Upo mkoa gani, wilaya gani?
Faida 400 x 100=40000 faidaLasta moja 800 hadi 900
Tunaangalia na competition nikiweka the same amount 1500 biashara itakuwa ngumuFaida 400 x 100=40000 faida
So each bero lenye package 100 kwa sh 1200 ,profit 40000Tunaangalia na competition nikiweka the same amount 1500 biashara itakuwa ngumu
Ok hapo sawa.Lasta moja 800 hadi 900
So each bero lenye package 100 kwa sh 1200 ,profit 40000
SijakadiliaAmbalo umekadiria litaisha baada ya muda gani?
Sijakadilia
Hahahahaa kimeumanaSijui kiukweli.
Wanawake ndio wanajua.