Namtafuta wos

Kuna mchakato Nimeambiwa nimshirikishe.
Nimeuona ule mchakato broda, sasa mTUMIE PM, na huko umpe namba yako ili hata kama yuko offline, siku akiingia akutane na ujumbe pamoja na namba yako!!
Vinginevyo, nakutakia heri, na pia fuatilia zile altenative ulizoambiwa na wengine!
 
Kanitafutie basi acha kushangaa

Mkuu, kila napogonga namba yake anapokea mtu mwingine na kuniambia hapatkani!!!! nikimuona tu mitaa hii nitakujuza.
 
Ananijiaga usiku ndotoni nitamwambia
 
simpati kwenye simu aisee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…