umemshtukiaee?hii sasa mpya kabisa... Unamtafutia kwa nini?? Si atafute mwenyewe??? Nahisi wewe ndiye mtafutaji... Kila la kheri mpendwa...
wee ulimaliza kwanza chuo?Mshauri amalize chuo kwanza, ana haraka gani? Yaani baada ya ku break up anataka mwingine fasta!!!!! Halafu akimaliza chuo atafute mwenyewe, mchumba sio nguo ya kumtafutia mtu.
me ninae ila unaweza kuni PM alafu pia namtafutia coz hana access ya internet na kaniambia nimtafutie hukuumemshtukiaee?
niPM unipe details zake,namhitaj huyoshe is my friend, alikuwa na mahusiano na mwanaume wakaachana, sasa hivi hajabahatika , wale wanaomtongoza sasa hvi weng ni waume za watu so inakuwa ngumu kuwa nao, sifa zake ni msichana black beauty, 23yrs old, anapatikana dar na mwanza, ni mwanachuo wa mwaka wa pili, kwa maelezo zaidi unaweza kuni PM, (this is serious)
na ww ni PMMm namhitaji jmn...ni pm ww unipe details zake zaidi. Its serious