Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 807
- 1,340
Ndio, namtaka mwanamke wa kuoa, mwenye akili timamu, narudia kusema mwenye akili timamu.
Umri kuanzia miaka 22 mpaka 30. Mimi mwenye mi pia nipo kwenye hiyo miaka. Awe Dar es Salaam
Kingine akubali kwa ridhaa yake kupima magonjwa, maana sitaki skrepa Mimi[emoji1][emoji1]ndio nipo makini katika hilo.
Nimechoka mapenzi ya mbali na nimeshaumia kwenye penzi la mwanzo.
Sifa zangu mi ni mrefu, mwanaume mweusi, handsome, nimeshika sana dini, mpole, msikivu na mpambanaji
Ndio nataka mamangu afurahi maana anataka nioe na Mimi nimeridhia kabisa naona mda umefika.
Umri kuanzia miaka 22 mpaka 30. Mimi mwenye mi pia nipo kwenye hiyo miaka. Awe Dar es Salaam
Kingine akubali kwa ridhaa yake kupima magonjwa, maana sitaki skrepa Mimi[emoji1][emoji1]ndio nipo makini katika hilo.
Nimechoka mapenzi ya mbali na nimeshaumia kwenye penzi la mwanzo.
Sifa zangu mi ni mrefu, mwanaume mweusi, handsome, nimeshika sana dini, mpole, msikivu na mpambanaji
Ndio nataka mamangu afurahi maana anataka nioe na Mimi nimeridhia kabisa naona mda umefika.