ajaymsomali
Member
- Jan 10, 2015
- 92
- 23
Salama wanajamvi, Nilikua na msichana mmoja tangu darasa la 7, sekondari na hata sekuwah ku do nae ad tulpomaliza form four nilimpenda na nilmwamini sana kabla yaku do aliniambia yeye ni bi.k.ra lakini sio kweli baada ya ku do.
Upendo wangu kwake ulipungua ila yeye alizdi kunipenda na kunisisitiza kua nisimuachesababu nitamuumiza sana, aliasa sana mimi na yeye kuoana, baada yakumaliza form four yeye alienda Nairobi mimi nikaja Dar es salaam, tuliendelea kuwasiliana na kupeana matumaini, alihamishiwa Iringa na badae tanga kikazi nilienda siku moja nakurudi baada ya siku ya pili.
Neno lake llkua lile lile mimi na yeye tuje kuona, mimi siko facebook sababu a don like it na yeye anatambua ilo, 1 day nlichukua simu ya mtu na kuingia kwenye page yake, nilkuta ka post picha ya jamaa mmoja kwenye page yeke, nelimuuza akanambia yeye mwenyewe hamjui sikuwa na maneno, mimi na yeye tuko dini tofauti na alikubali kua atabadili dini.
Nimemtumia 2100 text through Watsap na kumwambia aachane na mimi na akipata mwanaume aolewe, kalalamika sana na kunikumbushia mambo mengi tuliyoahidiana namuonea huruma kiasi fulan ila nisingependa awe mama wa wanangu ila anatia huruma
Please matusi sio mazuri.
Upendo wangu kwake ulipungua ila yeye alizdi kunipenda na kunisisitiza kua nisimuachesababu nitamuumiza sana, aliasa sana mimi na yeye kuoana, baada yakumaliza form four yeye alienda Nairobi mimi nikaja Dar es salaam, tuliendelea kuwasiliana na kupeana matumaini, alihamishiwa Iringa na badae tanga kikazi nilienda siku moja nakurudi baada ya siku ya pili.
Neno lake llkua lile lile mimi na yeye tuje kuona, mimi siko facebook sababu a don like it na yeye anatambua ilo, 1 day nlichukua simu ya mtu na kuingia kwenye page yake, nilkuta ka post picha ya jamaa mmoja kwenye page yeke, nelimuuza akanambia yeye mwenyewe hamjui sikuwa na maneno, mimi na yeye tuko dini tofauti na alikubali kua atabadili dini.
Nimemtumia 2100 text through Watsap na kumwambia aachane na mimi na akipata mwanaume aolewe, kalalamika sana na kunikumbushia mambo mengi tuliyoahidiana namuonea huruma kiasi fulan ila nisingependa awe mama wa wanangu ila anatia huruma
Please matusi sio mazuri.