NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Baada ya kocha Robertinho kusimamishwa kazi, Kuna tetesi zipo kuwa Kuna wachezaji waandamizi watano nao watafukuzwa.
Mzee wa Propaganda NALIA NGWENA najua huo ni uzushi na ni mbinu pekee kwa Simba sc kufurahisha mioyo ya mashabiki waonekane kuwa hawakufurahishwa na kipigo Cha goli 5.
Namungo Fc nawatahadharisha mapema jikiteni katika kufanya mazoezi ili mkabiliane na Simba sc ikiwezekana mpige kwenye mshono.
Nawatahadharisha mapema endapo mtaingia kwenye mfumo wa Simba sc Basi hasira zote zitaishia kwenu kuweni makini sana.
Simba sc bado wanandoto za kuchukua ubingwa maana gemu ya Namungo Fc ni gemu muhimu sana, Namungo msibweteke mkajua kuwa Simba sc wamekata tamaa kwani mkifanya hivyo mtafungwa hata goli kumi.
NAMUNGO FC MSIINGIE KWENYE MTEGO /TETESI NA PROPAGANDA ZA SIMBA SC KUWENI MAKINI.
Mzee wa Propaganda NALIA NGWENA najua huo ni uzushi na ni mbinu pekee kwa Simba sc kufurahisha mioyo ya mashabiki waonekane kuwa hawakufurahishwa na kipigo Cha goli 5.
Namungo Fc nawatahadharisha mapema jikiteni katika kufanya mazoezi ili mkabiliane na Simba sc ikiwezekana mpige kwenye mshono.
Nawatahadharisha mapema endapo mtaingia kwenye mfumo wa Simba sc Basi hasira zote zitaishia kwenu kuweni makini sana.
Simba sc bado wanandoto za kuchukua ubingwa maana gemu ya Namungo Fc ni gemu muhimu sana, Namungo msibweteke mkajua kuwa Simba sc wamekata tamaa kwani mkifanya hivyo mtafungwa hata goli kumi.
NAMUNGO FC MSIINGIE KWENYE MTEGO /TETESI NA PROPAGANDA ZA SIMBA SC KUWENI MAKINI.