Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
NGAPI NGAPI HUKOUzi umepoa sana, haya ndio madhara ya timu moja ku dominate ligi kwa gape kubwa kiasi cha mechi za timu zingine zinaonekana kama wakamilisha ratiba tu
Tumeshapigwa kamoja na hawa Namungo. Ila tutachomoa mkuuNGAPI NGAPI HUKO
kwA refa huyu mtachomoaTumeshapigwa kamoja na hawa Namungo. Ila tutachomoa mkuu
aiseee mapema hivi, dah kumbe ndo maana hapa nilipo kuna chura wanarukaruka bila stepuTumeshapigwa kamoja na hawa Namungo. Ila tutachomoa mkuu
Umakini wa washambuliaji wa simba unatosha, paka mda huu simba ingekuwa anaongoza sema tu fowadi hawatumii nafasi walizopata paka sasakwA refa huyu mtachomoa
Kuwa chura wanarukaruka.. Umetisha sana mzee wa mia 9 itapendezaUmakini wa washambuliaji wa simba unatosha, paka mda huu simba ingekuwa anaongoza sema tu fowadi hawatumii nafasi walizopata paka sasa
Mkeka umechanika weka mwingineFT: Simba 2:0 Namungo
Fowadi kibu na Mugalu hahahahaUmakini wa washambuliaji wa simba unatosha, paka mda huu simba ingekuwa anaongoza sema tu fowadi hawatumii nafasi walizopata paka sasa