Ni Namungo, mkuu... shukran kwa udadavuzi thoInawezekana kajipindashia lakini tusisahau ile timu inapata support kubwa sana kutoka kwa wachimba madini na wafanyabiashara ay madini, bila kusahau mkoani na wilayani!
Kwa viwango vya timu zetu za daraja la kwanza, unaweza kusema Lyamungo ina kila kitu inachohitaji! Wakati timu zingine zinaweza kushindwa kufika eneo la tukio kutokana na kukosa usafiri, Lyamungo wana basi lake wenyewe!! Hata ukiwaona makocha wake, na wenyewe wana sifa… kwa mfano, kocha mkuu ni yule Mnyarwanda ambae alikuwa Biashara United akisaidiwa na Bakari Malima!!!
Zaidi ya hapo, hii timu originally ni ya "wana-Apollo" wa Lyamungo na mpaka kesho, wadhamini wake ni watu wanao-deal na madini!
So, kwa kuangalia viwango vya ukata wa timu zetu, unaweza kusema Lyamungo ni miongoni mwa timu chache zisizo na njaa… na hili ndilo muhimu zaidi kwenye soka!
Majaliwa aliingia kama wafanyavyo wanasiasa wote! Aliingia baada ya kuona Lyamungo imeshapata mafanikio ya kupanda daraja la kwanza ingawaje pia huwezi kupuuza umuhimu wake! Kwa mfano, tunajua daraja la kwanza limejaa magumashi kwa mechi za nyumbani! So, kv wengi wanaamini pale kuna mkono wa PM, basi wafanya magumashi wanaweza kuwa makini zaidi na magumashi yao wanapokutana na Lyamungo!
Hapo ndipo wenye maono na kuelewa mambo wanasema itachukua karne kadhaa kukuza kiwango cha michezo tz.Naona PM kajipandishia team yake!!! Soccer la bongo itaendelea kudumaa milele.
Nilitamani sana hili kuliandikia thread humu
Hahaa! Kumbe ni Namungo… thanks for correction!Ni Namungo, mkuu... shukran kwa udadavuzi tho
Hivi unaweza kunitajia sababu MOJA TU inayowafanya muasiamini Namungo imepanda kutokana na uwezo wake?!Hapo ndipo wenye maono na kuelewa mambo wanasema itachukua karne kadhaa kukuza kiwango cha michezo tz.
Suluhisho ni kuwa na vyama vya michezo vinavyowajibika kwa wanachama wao (timu) badala ya hivi ambavyo vinawajibika kwa watawala. Kwa haraka haraka unaweza kuona ni mafanikio lakini sehemu yanye lundo la vipaji kama Kigoma haiwakilishwi ligi za juu kwa vile eti hapana 'mwenye cheo' wa kuwabeba!
Kumbe mnawakumbuka hawa jamaa na Ilulu yao!!! Kuna siku nilitaka kushauri kila mechi ya Stars inayochezwa Tz, basi wakabidhiwe mikoba watu wa Lindi na kama vp mechi ziwe zinachezwa Ilulu 😀😀😀😀😀!! Bado namkumbuka Aden Rage alivyokuwa analilia kuhusu Kariakoo na uwanja wao baada ya Simba kutandikwa goli 3!
Nakumbuka kuna msimu karibu timu ZOTE ambazo zilienda Ilulu zilitandikwa kasoro Yanga ambao na wenyewe waliambulia sare!! Cha ajabu, huyo huyo ambae alitandika karibu timu zote nyumbani, hakupata hata point moja kwenye mechi za ugenini!!
Hahaa! Lakini tutakuwa na uhakika wa mechi za nyumbani! Simba kafika 1/4 final kwa mechi za nyumbani peke yake!!Hahaahahahahahahaha uchawi hauvuki mpaka
Mtashuka tu kama wanafunzi wa allianceNa Bakari Chijumba
Timu ya Namungo Fc yenye maskani yake wilayani Ruangwa Mkoani Lindi ,imefanikiwa Kupanda daraja na kutinga Ligi kuu Tanzania Bara,baada ya kuichapa Mawenzi bao mbili kwa Moja,kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa ni miongoni mwa waliosafiri na timu hadi Morogoro ambapo amesema hawajaingia Ligi kushindana bali kwenda kushinda
Kocha Mkuu wa Namungo FC Hetmana Thierry amesema licha ya kutinga ligi kuu bado wana kiporo cha mechi mbili nyumbani .
"Kwanza tunamshukuru Mungu katujalia kuipandisha Timu,hilo lilikua ni lengo la uongozi..Pili bado ligi haijaisha sawasawa,Tumepanda(Ligi kuu) ila tuna mechi mbili za nyumbani,tukimaliza kuzicheza tutajipanga kwa ligi kuu" amesema Hetmana Thierry.
View attachment 1078537View attachment 1078538View attachment 1078539View attachment 1078540
Itakuwa upo peke yako tuHiyo timu haina mashabiki wanawake?
Asante kwa kutokuwa shabiki na badala yake umeibua hoja inayoweza kuanzisha mjadala endelevu.Hivi unaweza kunitajia sababu MOJA TU inayowafanya muasiamini Namungo imepanda kutokana na uwezo wake?!
Btw, hivyo vipaji vya Kigoma vita-shine vp ikiwa hakuna support?! Zamani Kigoma kulikuwa na timu kama TRC (sikumbuki vizuri jina) ambayo ilikuwa ni timu ya kampuni yenye resources; what about siku hizi?!
Nakubaliana na maelezo yako kwa 100% lakini ninachoona tuhuma za watu dhidi ya Namungo ni kama wanaona imepanda kutokana na kupendelewa!!Asante kwa kutokuwa shabiki na badala yake umeibua hoja inayoweza kuanzisha mjadala endelevu.
Tunavyosema support inabidi itokane na industry ya mpira wenyewe, mfano kuwa na ligi kuu imara, ligi daraja la kwanza imara angalau hadi ligi daraja la pili na confederation competition zenye kuaminika. Ikipendekezwa kuwa timu inayoshiriki ligi kuu hata isiyo na mfadhili minimun pay (weekly/monthly, annually nk) iwe kiwango fulani na hiyo pesa itolewe na sponsor wa ligi utakuwa umeepuka timu ya ligi kuu kukopeshwa nauli na wabongo fleva ambapo ni aibu.
Chama cha mpira kingekuwa kinawajibika kwa wanachama wake kwa hakika wasingecheza ligi bila sponsor hivyo kuweza kubalance consistency ya timu shiriki ikiwa ni pamoja na kuibua timu mpya zenye msukumo wa wapenda mchezo badala ya msukumo wa 'fulani'.
Inawezekana kajipindashia lakini tusisahau ile timu inapata support kubwa sana kutoka kwa wachimba madini na wafanyabiashara ay madini, bila kusahau mkoani na wilayani!
Kwa viwango vya timu zetu za daraja la kwanza, unaweza kusema Lyamungo ina kila kitu inachohitaji! Wakati timu zingine zinaweza kushindwa kufika eneo la tukio kutokana na kukosa usafiri, Lyamungo wana basi lake wenyewe!! Hata ukiwaona makocha wake, na wenyewe wana sifa… kwa mfano, kocha mkuu ni yule Mnyarwanda ambae alikuwa Biashara United akisaidiwa na Bakari Malima!!!
Zaidi ya hapo, hii timu originally ni ya "wana-Apollo" wa Lyamungo na mpaka kesho, wadhamini wake ni watu wanao-deal na madini!
So, kwa kuangalia viwango vya ukata wa timu zetu, unaweza kusema Lyamungo ni miongoni mwa timu chache zisizo na njaa… na hili ndilo muhimu zaidi kwenye soka!
Majaliwa aliingia kama wafanyavyo wanasiasa wote! Aliingia baada ya kuona Lyamungo imeshapata mafanikio ya kupanda daraja la kwanza ingawaje pia huwezi kupuuza umuhimu wake! Kwa mfano, tunajua daraja la kwanza limejaa magumashi kwa mechi za nyumbani! So, kv wengi wanaamini pale kuna mkono wa PM, basi wafanya magumashi wanaweza kuwa makini zaidi na magumashi yao wanapokutana na Lyamungo!
Kumbe mnawakumbuka hawa jamaa na Ilulu yao!!! Kuna siku nilitaka kushauri kila mechi ya Stars inayochezwa Tz, basi wakabidhiwe mikoba watu wa Lindi na kama vp mechi ziwe zinachezwa Ilulu 😀😀😀😀😀!! Bado namkumbuka Aden Rage alivyokuwa analilia kuhusu Kariakoo na uwanja wao baada ya Simba kutandikwa goli 3!
Nakumbuka kuna msimu karibu timu ZOTE ambazo zilienda Ilulu zilitandikwa kasoro Yanga ambao na wenyewe waliambulia sare!! Cha ajabu, huyo huyo ambae alitandika karibu timu zote nyumbani, hakupata hata point moja kwenye mechi za ugenini!!
Timu sio mali ya Halmashauri isipokuwa baada ya kupanda daraja, wilaya na mkoa wakaipa support! Moja ya support ambayo walitoa ni hiyo gari!! Unajua Kusini kwavile timu zinapanda kwa msimu basi ikitokea moja ikafika sehemu nzuri, wadau wote wanaelekeza nguvu kwenye hiyo timu!Mkuu Chige ile gari ina namba zinazosomeka SM, bila shaka lile basi ni mali ya Serikali pia inawezekana na timu ikawa mali ya halmashauri ya Ruangwa maana sidhani kama wanaweza kupewa basi huku hawana mahusiano na Serikali..
Don't tell me! Yaani ile suluhu ambayo Yanga tuliipata ilikuwa ni baada ya Yanga kucheza kama akina Chuck Norris?! Au nimesahau? Manake ninachokumbuka ni kwamba, timu ambayo ilipona pale Ilulu ni Yanga pekee na kupona kwenyewe ni kupata suluhu!!!Ilulu pale nina kahistoria napo fulani, Kariakoo ya Lindi naikumbuka sana kwa fitina zake pale Ilulu. Yanga ilibidi watue na ndege mchana maana Ilulu na Lindi paliogopeka sana kwa wageni... Its a good memory kwa kweli..