Namungo FC yatangaza kuachana na Kocha Denis Kitambi

Namungo FC yatangaza kuachana na Kocha Denis Kitambi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Namungo.JPG
Uongozi wa Namungo Fc unapenda kumshukuru Kocha Denis Kitambi kwa muda wote aliotumikia Timu kwa ushirikiano mkubwa ndani ya Timu yetu.

Namungo Fc inamtakia kila la kheri Kocha Denis Kitambi katika safari yake ya ukocha nje ya Namungo Fc.
 
Alianza Cedric Kaze, na sasa ni Dennis Kitambi! Bila shaka kuna kitu kipo nyuma ya pazia, na ambacho wadau wengi hatukifahamu.
 
Nje ya Topic: Hivi market share ya Sportpesa katika tasnia hii ya kamari ni kubwa kiasi gani kwani inadhamini timu nyingi sana kwenye Premier League; nadhani ni pamoja Yanga, Namungo, Singida. Kampuni nyingine inayodhamini michezo ni MBet tu wakati Tanzania ina makampuni lukuki ya kamari. Je Sportpesa ndiyo inayotawala biashara ya kamari nchini?
 
Nje ya Topic: Hivi market share ya Sportpesa katika tasnia hii ya kamari ni kubwa kiasi gani kwani inadhamini timu nyingi sana kwenye Premier League; nadhani ni pamoja Yanga, Namungo, Singida. Kampuni nyingine inayodhamini michezo ni MBet tu wakati Tanzania ina makampuni lukuki ya kamari. Je Sportpesa ndiyo inayotawala biashara ya kamari nchini?
Sportpesa ni international betting company. Financial muscles anazo. Hawezi kulinganishwa na hizi local company.
 
Atakuwa wa mchongo huyo. Anaitwaje kitambi wakati hana kitambi? Ina maana anaitwa kocha wakati hana ukocha.

JUST JOKING!🤣🤣🤣
 
Team ndogo zinataka kuwa team kubwa wakati uwezo mdogo

Angalia ihefu
 
Huyu jamaa kaitoa mkiani NAMUNGO kaipandisha juu kabisa sasa wasubili yawakute kama ihefu walimtimua zuberi katwila wakamleta aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya uganda moses Bjsena sasa hivi wanapumulia mashine.
 
Back
Top Bottom