Shadida Salum Journalist at JamiiForums Joined Sep 11, 2020 Posts 69 Reaction score 105 Feb 21, 2021 #1 Mchezo wa kombe la shirikisho kati ya De Agosto dhidi ya Namungo umemalizika katika Dimba la Azam Complex Chamanzi jijini Dar es salaam. Katika mchezo huo ambao Namungo ilikuwa ugenini imefanikiwa kumuadhibu De Agosto bao 6-2. Mchezo mmoja umesalia ili kukamilisha hatua hiyo ya mtoano ambapo mshindi wa jumla atatinga katika hatua ya makundi ya michuano hiyo. Mchezo wa pili unatakiwa kuchezwa ndani ya masaa 72.
Mchezo wa kombe la shirikisho kati ya De Agosto dhidi ya Namungo umemalizika katika Dimba la Azam Complex Chamanzi jijini Dar es salaam. Katika mchezo huo ambao Namungo ilikuwa ugenini imefanikiwa kumuadhibu De Agosto bao 6-2. Mchezo mmoja umesalia ili kukamilisha hatua hiyo ya mtoano ambapo mshindi wa jumla atatinga katika hatua ya makundi ya michuano hiyo. Mchezo wa pili unatakiwa kuchezwa ndani ya masaa 72.
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Feb 21, 2021 #2 Yani sisi tumeanza tangu dakika ya kwanza wewe ndio unafungua thread sasa hivi