Namungo yaigaragaza De Agosto

Shadida Salum

Journalist at JamiiForums
Joined
Sep 11, 2020
Posts
69
Reaction score
105

Mchezo wa kombe la shirikisho kati ya De Agosto dhidi ya Namungo umemalizika katika Dimba la Azam Complex Chamanzi jijini Dar es salaam.

Katika mchezo huo ambao Namungo ilikuwa ugenini imefanikiwa kumuadhibu De Agosto bao 6-2.

Mchezo mmoja umesalia ili kukamilisha hatua hiyo ya mtoano ambapo mshindi wa jumla atatinga katika hatua ya makundi ya michuano hiyo.

Mchezo wa pili unatakiwa kuchezwa ndani ya masaa 72.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…