Namuulizia Regina Mengi je ameolewa?

Anaogopa kuchoma nauli
 
Picha pls tumuone huyo Regina kuanzia nyayoni Hadi utosini tufanye valuation na quantity survey
 
Tuache kuficha ficha hata Kama kuna ban kiufupi Regina ni Msagaji na Ameoa na kuishi na Mwanamke mwenzake.

Pía Abdiel Mengi yeye pía hajaoa, ni mla bata kama lemutuz. Ila ni kijana smart sana. Thats why mzee ilibidi atafute watoto wawili wa kiume kwa gharama kubwa sana ili waje kuendeleza malí zake.
Wale pacha walipangwa kabisa, sikuhizi kuna dawa zinauzwa marekani dola 50000 anakunywa demu ukimpa mimba anazaa mapacha, Yani zinadondosha mayai mawili wakati wa ovulation
 
Aiseee duuuh kamuoa nani??
 
Kaka mzuri vile hajaoa??

Ila watoto wa matajiri aisee, hata Regina hana mtoto?
 
Aiseee
 
Wale pacha walipangwa kabisa, sikuhizi kuna dawa zinauzwa marekani dola 50000 anakunywa demu ukimpa mimba anazaa mapacha, Yani zinadondosha mayai mawili wakati wa ovulation
Dah!
 
Wangekuwa hawawezi kuendeleza Mali wangepewa ukurugenzi?
Huyu Regina si ndo mkurugenzi wa EATV na east Africa radio?

Wabongo mkiamua kumzushia mtu jambo😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
 
Wangekuwa hawawezi kuendeleza Mali wangepewa ukurugenzi?
Huyu Regina si ndo mkurugenzi wa EATV na east Africa radio?

Wabongo mkiamua kumzushia mtu jambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mkuu hii issue nimeiskia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…