Namuulizia Regina Mengi je ameolewa?

Habari wana jukwaa
Leo naomba nimuulize huyu bibie regina mengi...Jee ameolewa?jee ana watoto...hali ya mahusiano jee....

Kwa mnaomjua tafadhali huyu bibie ni mpole sana anavyoonekana mstaarab na muungwana pia...
Picha plz
 
Habari wana jukwaa
Leo naomba nimuulize huyu bibie regina mengi...Jee ameolewa?jee ana watoto...hali ya mahusiano jee....

Kwa mnaomjua tafadhali huyu bibie ni mpole sana anavyoonekana mstaarab na muungwana pia...
Hajaolewa ila anakula wenziwe
 
Upo sahihi Regina ni msagaji, alikuwa anasagana na Dada mmoja pale kibo , ni rafiki yake sana yule Dada. Kwao walipiga kelele kuhusu usagaji hadi wakachoka, yule Dada msagaji mwenzake na Regina alikuja kuotewa mimba akazaa mtoto mmoja hadi Leo, ni rafik yake kipenzi
 
Huenda ikawa ila masuala ya kusikia mkuu kibongo bongo aiseee!
Watu wanaweza kukutungia jambo la uongo mpaka likwanogea kabisa
Sio kusikia mm Nina mdada ni ndugu yangu mbali kidogo, ni rafiki WA Regina hadi kwenye msiba wa baba WA huyo Dada, Regina alienda hadi kijijini huko njombe, wote walikuwa wasagaji ,baba mkubwa alipiga kelele sana kuhusu usagaji WA huyo Dada yetu na Regina ,wapi, hakusikia, na hadi Regina na huyu Dada walikuwa wote wanafanya biashara ya kuuza mabomba ya sindano za hospitali,mtaji walipewa na Dr.Mengi.
 
naskia mvivu sana na hajui hata kupika [emoji41]
zile za kupika na kufua haziwahusu waha kina 'reg bana, ila kina mwajuma usipompikia mumeo ndio utakoma hahaha
 
Mmh nani kasema,,labda aolewe na braza men
zile za kupika na kufua haziwahusu waha kina 'reg bana, ila kina mwajuma usipompikia mumeo ndio utakoma hahaha
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚aiseee ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ hii ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ