Hamjambo wana jamvi. Mwenzenu namwachia mama mkwe nyumba aishi na mwanae. Ni wiki ya 3 haongei na mimi anapika kwake. Kibaya alichemsha mitishamba ninywe na house girl hakutoa maelezo tukagoma. Anaondoka mchana kurudi usiku. Mume wangu hayupo hadi dec, hali ni tete. Na anamuogopa mamake sana. Hatak kurud kwa mumewe, ndgu wamechoka vikao. Kesha sambaratisha ndoa ya mtoto wake mkubwa anaprefer wanawake wa kabila lake hata wajukuu anawabagua. Nisaidien wandugu na hii hali yangu.
Hamjambo wana jamvi. Mwenzenu namwachia mama mkwe nyumba aishi na mwanae. Ni wiki ya 3 haongei na mimi anapika kwake. Kibaya alichemsha mitishamba ninywe na house girl hakutoa maelezo tukagoma. Anaondoka mchana kurudi usiku. Mume wangu hayupo hadi dec, hali ni tete. Na anamuogopa mamake sana. Hatak kurud kwa mumewe, ndgu wamechoka vikao. Kesha sambaratisha ndoa ya mtoto wake mkubwa anaprefer wanawake wa kabila lake hata wajukuu anawabagua. Nisaidien wandugu na hii hali yangu.
<br />nakumbuka wakati flani uliwahi kuleta malalamiko hpa kuwa huyo mumeo anamsikiliza mama yake kuliko wewe...ukazidi kutiririka kuwa hata mkipanga kitu na mumeo lazima akapate approval toka kwa mama yake........(nisahihishe kama nakosea sio wewe ulileta lalamiko hilo hapa)<br />
<br />
kwa kuwa mumeo hayupo kaondoka hadi hiyo dec....na kw kuwa mama mkwe anaendelea na tabia yake basi wasiliana mumeo na umweleze kinachojiri then mwambia kuwa unaenda kwenuhadi hapo atakaporudi mumeo.....<br />
<br />
ondoka huyo mama sio mtu mzuri hata kidogo
<br />Ushamweleza mumeo hilo tatizo na mshenga wako.<br />
Ni tatizo kubwa sana ila kabla hujachukua maamuzi yoyote wafikirie watoto wako na huu ni ugomvi wa mama mkwe sio na mumeo <br />
Kama ushamjua kuw ani mvunjaji wa ndoa za watu jaribu ufanye kila njia ulinde ndoa yako maadam wanamuelewa kuwa ni mgomvi na anasambaratisha ndoa <br />
Linda sana ndoa yako na watoto wako na wala usijaribu kuvunja ndoa yako kwa sababu ya mama mkwe. najua ni ngumu sana kuvumilia ila wewe fuata kile ambacho kimekuweka kwa mumeo yaani ndoa yako na maisha ya watoto wako
Esperance my dear....sina uzoefu na mambo hayo kivile....lakini nakushauri nenda kapumzike kwa mama yako mpaka mmeo arudi.....khaaa!!....
Daah jamani hivi watu wengine wapo kuvunja ndoa za watu?
mama mkwe awanyweshe miti shamba ili iweje.
Jaribu kuwaeleza wazazi wako hili tatizo lazima watakupa ushauri wa hekima na busara
<br />Daah jamani hivi watu wengine wapo kuvunja ndoa za watu?<br />
mama mkwe awanyweshe miti shamba ili iweje.<br />
Jaribu kuwaeleza wazazi wako hili tatizo lazima watakupa ushauri wa hekima na busara