<br />na ikitokea hao wakwe ndo 'wazazi' wa Esperance anakimbilia wapi sasa?<br />
<br />
tukiachilia mbali hiyo mitishamba na kabila lako, Esperance huna tatizo lingine na mkwe wako? huwezi kuwa pia na wewe unachangia kwenye shida ya hiyo ndoa yako?
<br /><br />Saa nyingine hata nyie wake zetu mna matatizo bana, hivyo mi sikuamini 100% kwamba mama mkwe ndo mbaya. Jitoe kwanza boriti jichoni mwako.
Sweetheart unajua ile Women to women talk ,
Hebu funga mkanda umuombe mama mkwe kuongea nae mkiwa wawili tu hata Housegal asiwepo kutoa ushahidi,baada ya hapo mwambie akupe ukweli wake kuhusu wewe,
Kama hakupendi mwambia ndo Choice ya mwanae
Kama anakufundisha ulozi mwambie ..wewe unamwamini mwenyezi mungu pekee
Hapa ndo hekima yako inatakiwa kwa huyo mama mkwe.
Ukiona haelewi somo Esperance kapumzike kwenu mpaka mmeo aje kutatua hii migogoro .....
<br />Sweetheart unajua ile Women to women talk ,<br />
Hebu funga mkanda umuombe mama mkwe kuongea nae mkiwa wawili tu hata Housegal asiwepo kutoa ushahidi,baada ya hapo mwambie akupe ukweli wake kuhusu wewe,<br />
Kama hakupendi mwambia ndo Choice ya mwanae <br />
Kama anakufundisha ulozi mwambie ..wewe unamwamini mwenyezi mungu pekee <br />
Hapa ndo hekima yako inatakiwa kwa huyo mama mkwe.<br />
Ukiona haelewi somo Esperance kapumzike kwenu mpaka mmeo aje kutatua hii migogoro .....
Ningekuwa mimi hata nisingesubiri chochote as long as pande zote wanafahamu hayo matatizo ni mbio kwa mama yangu kha!!
Maana nakumbuka ulishaleta malalamiko kama haya naona ugonjwa unakomaa sasa.
Pole nenda kwenu kapumzike hatukuja duniani kuteseka bana!!! Subiri mumeo aje muendelee na maisha
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Esperance my dear....sina uzoefu na mambo hayo kivile....lakini nakushauri nenda kapumzike kwa mama yako mpaka mmeo arudi.....khaaa!!....</span></font></font>
te te te DA bana
Kwani kwenu umeua unaogopa kurudi??? Kajipumzikie zako bana
Mimi ningemwitia watoto wa afande mwema.si ana kwake jamani?Na inajulikana kuwa ni mkorofi.mwitie police.mme wako mweleze ukweli then ongeza na chumvi.
<br />Hamjambo wana jamvi. Mwenzenu namwachia mama mkwe nyumba aishi na mwanae. Ni wiki ya 3 haongei na mimi anapika kwake. Kibaya alichemsha mitishamba ninywe na house girl hakutoa maelezo tukagoma. Anaondoka mchana kurudi usiku. Mume wangu hayupo hadi dec, hali ni tete. Na anamuogopa mamake sana. Hatak kurud kwa mumewe, ndgu wamechoka vikao. Kesha sambaratisha ndoa ya mtoto wake mkubwa anaprefer wanawake wa kabila lake hata wajukuu anawabagua. Nisaidien wandugu na hii hali yangu.