Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kuna mchezo utakuwa unafanyika kwa wachezaji sio bure, kwa sababu naangalia mechi baina ya APR vs Singida Black Stars michuano ya cecafa usiku huu pale chamazi, Tadeo Lwanga anacheza vizuri t, hana majeraha wala mibandeji mguuni kama alivyokuwa Simba.
Alipokuwa Simba majeraha mwanaume huyu yalimuandamana had Simba wakaona bora wamuache, wengine walikuwa wanadai uchezaji wake wa rafu ndio ulisababisha awe anaumia, mbona ss hv hana majeraha.
Kuna nini pale Bunju kwa wachezaji, ngoj msimu uanze utaona wale ma Pro wapya Simba nao wataanza kuwa watu wa kuvaa mibandeji na majeraha kibao
Alipokuwa Simba majeraha mwanaume huyu yalimuandamana had Simba wakaona bora wamuache, wengine walikuwa wanadai uchezaji wake wa rafu ndio ulisababisha awe anaumia, mbona ss hv hana majeraha.
Kuna nini pale Bunju kwa wachezaji, ngoj msimu uanze utaona wale ma Pro wapya Simba nao wataanza kuwa watu wa kuvaa mibandeji na majeraha kibao