Namwonea Huruma Maradona!!

Namwonea Huruma Maradona!!

ZionTZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
1,283
Reaction score
541
5b6131e6f296bea4508ad99112f054e8-getty-98697118jd122_argentina_v_g.jpg
5b6131e6f296bea4508ad99112f054e8-getty-98697118jd122_argentina_v_g.jpg09e4e19dd9ae3dd091846113f72f6c7a-getty-fbl-wc2010-match59-arg-ger.jpg18057a9e524d4c0881e1c26282a20a9e-getty-98697118jd119_argentina_v_g.jpga7c07b8c3085d5c4a633c5e10049c167-getty-fbl-wc2010-match59-arg-ger.jpgept_sports_sow_experts-253871829-1278187825.jpg
 
Yes it is good, hajaficha hisia ya huzuni.
 
Ila jamaa kapata frastration sana, huenda akarudia kutumia drugs ili kupunguza msongo, maana huyu jamaa haeleweki!
 
Wacha karudi kwao...Kalikua kana vuvuzela sana Ergentina ikipata bao....kamedungwa nne,,,,,,,,,,,,,,TAAAAABAAAAANIIIIIIIIIIII
 
Wamenusuru asivue nguo kama alivyoahidi, Mungu hapendi mtu mzima atembee uchi hadharani jamani.😛ound:
 
tatizo la Maradona ni mbwembwe zilikuwa nyingi sana.
 
Ilikuwa zahma....
Hakutarajia kabisa..
 
Maradona kapata laana ya Pele kwa kumtukana!! Wakumuonea huruma ni Dunga wa Brazil kwani pale walipofungwa tu, akajua kitumbua kimeingia mchanga. Atajutia makosa ya kuwatema Gaucho na Adriano!!
 
Back
Top Bottom