Mbona unaongea kwa upole hivi FF anawafanyaga nini?
anawafanyaga = anawafanya
hahahaaha.... FF namkubali kama celebrity no one JF!
Kwa lugha za vijana wa sasa USHUNGI ni behind ya mwanamke. napita na zanguUshungi unahusiana nini na kuongea?
Nioneshe nilichokukwaza hata unishambulie bila mpango. Unanshangaza! wengi wenu huwa hampendi ukweli na mfumo dume unawafanya muone kuwa wanawake ni watu wa kukaa kimya na hawajui kitu, hiyo inatokana na malezi uliyolelewa nayo.
Wanawake wa Kiislaam tuna rights zetu kwa zaidi ya miaka 1400 leo. Usione ushungi kuwa ni kitu cha ajabu hata ma nun wanauvaa huo, kwanini?
Mzee umeshamalizana na Mod Invisible?Ni upuuzi na ujuha kuanzisha sredi kisha unajijibu mwenyewe.
Ushachokozwa!!
Mzee umeshamalizana na Mod Invisible?
Kwa lugha za vijana wa sasa USHUNGI ni behind ya mwanamke. napita na zangu
Sisi watu wazima mambo yetu tunayamaliza kimya kimya. Ushawahi kuusikia wimbo wa "kijana acha kupiga mayowe" unajua nani alikuwa anaimbwa? Muulize Faiza ndiye anayajua mambo ya Kilwa jazz na Jamhuri Jazz!Kigarama, una hamu na Mandi?
Na behind ya mwanamme? Kofia?
Mimi naweza kuwa Kilaza lakini FF unamuonea. Level yake ni juu sana kuliko wengi wetu hata kama sikubaliani naye kwenye mambo mengi!!
anawafanyaga = anawafanya
Kikongwe huyu! Hana meno last born wake ana miaka 29 !!! Amekata tamaa Yuko busy na usalama wa taifa