Nan anajua! Yanayo tokea 4m 6 NECTA...

Haroun jotham

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
49
Reaction score
2
Mwenye habar yeyote kuhus kufanyika kwa necta 4m6 inafanyika mwez wa 5 au wa2. Na ratiba ilisha tokaga ktmbo ya mwz wa2! Mchango wnu wana jf
 
Mjadala huu umeelezwa kwa kina kule kwenye Jukwaa la Elimu, pia kuna habari iliyoandikwa na The Guardian la jana. Nenda huko Elimu utapata jibu kwa urahisi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…