brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Baada ya ule mtanange wa hapo awali kati ya rayvan na harmonize na rayvan kumkimbiza vibaya sana mmakonde harmonize , leo nimewaletea mtanange mpya kati RAYVAN na RICHARD MAVOKO
Yupi unamuona mkali kuliko mwengine kuanzia uimbaji, uvaaji, performance jukwaani, na madoido ya hapa na pale
Karibuni
Rich mavoko
Rayvan
Yupi unamuona mkali kuliko mwengine kuanzia uimbaji, uvaaji, performance jukwaani, na madoido ya hapa na pale
Karibuni