Nan mkali, Rayvan vs Rich mavoko

Nan mkali, Rayvan vs Rich mavoko

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Baada ya ule mtanange wa hapo awali kati ya rayvan na harmonize na rayvan kumkimbiza vibaya sana mmakonde harmonize , leo nimewaletea mtanange mpya kati RAYVAN na RICHARD MAVOKO


Yupi unamuona mkali kuliko mwengine kuanzia uimbaji, uvaaji, performance jukwaani, na madoido ya hapa na pale


Karibuni




1474381650167.jpg
Rich mavoko



1474381662867.jpg
Rayvan




1474381673590.jpg




1474381683887.jpg



1474381723522.jpg




1474381732288.jpg





1474381747930.jpg





1474381757147.jpg
 
We jamaa ushakuwa tatizo, sio lazima uwe unapost kila saa matokeo yake ndio haya unapost pumba
 
Aisee mavoko sio wa kumfananisha Na ray bhana
Mavoko anajua sanaaaa labda useme mavoko vs diamond
 
We jamaa ushakuwa tatizo, sio lazima uwe unapost kila saa matokeo yake ndio haya unapost pumba
Oi mbona unapenda sana kukandia nyuzi zangu si mara ya kwanza hii, mimi mbona nyuzi zako na post zako na reply vizuri tu


Tuliza mshono kama vipi alafu fuata yako usipende kuniamuru niandike nini Kenge mkubwa wewe
 
Baada ya ule mtanange wa hapo awali kati ya rayvan na harmonize na rayvan kumkimbiza vibaya sana mmakonde harmonize , leo nimewaletea mtanange mpya kati RAYVAN na RICHARD MAVOKO


Yupi unamuona mkali kuliko mwengine kuanzia uimbaji, uvaaji, performance jukwaani, na madoido ya hapa na pale


Karibuni




View attachment 403678Rich mavoko



View attachment 403680Rayvan




View attachment 403682



View attachment 403685


View attachment 403686



View attachment 403687




View attachment 403688




View attachment 403689
mavoko ni fundi huyu jamaa yeye hanaga kiki ila anautunzi umesimama vibao kama silali, roho yangu,na ibaki story umemkosea heshima mavoko
 
Back
Top Bottom