brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
yote sawaHivi madoido ndio swagg?
Au swagg ni mikogo?
Samahani kabla sijapiga kura
Atakaye pita hapa ndio atakutana na domoMkuu domo mwenyewe anakimbizwa mchaka mchaka na huyo mavoko sasa unamkosea heshima kumshindanisha na huyo mwenye nyimbo mbili!
maji ya mswalu ndio maji gani mkuu?Rayvn hakaogee maji ya mswalu kwanza atamfikia kdogo Rich
sijui nani alimshauri, hadi aibu.Huyo dogo hizo pink ni sahihi kweli!!!??
Hata diamond anasubiri sana kwa Mavoco....sema nyota tuAisee mavoko sio wa kumfananisha Na ray bhana
Mavoko anajua sanaaaa labda useme mavoko vs diamond
Huo ndio ukweli Dogo hana nyota ila ni mkali sanaaaHata diamond anasubiri sana kwa Mavoco....sema nyota tu
Oi mbona unapenda sana kukandia nyuzi zangu si mara ya kwanza hii, mimi mbona nyuzi zako na post zako na reply vizuri tuWe jamaa ushakuwa tatizo, sio lazima uwe unapost kila saa matokeo yake ndio haya unapost pumba
mavoko ni fundi huyu jamaa yeye hanaga kiki ila anautunzi umesimama vibao kama silali, roho yangu,na ibaki story umemkosea heshima mavokoBaada ya ule mtanange wa hapo awali kati ya rayvan na harmonize na rayvan kumkimbiza vibaya sana mmakonde harmonize , leo nimewaletea mtanange mpya kati RAYVAN na RICHARD MAVOKO
Yupi unamuona mkali kuliko mwengine kuanzia uimbaji, uvaaji, performance jukwaani, na madoido ya hapa na pale
Karibuni
View attachment 403678Rich mavoko
View attachment 403680Rayvan
View attachment 403682
View attachment 403685
View attachment 403686
View attachment 403687
View attachment 403688
View attachment 403689