Sabrigas Mobeji
Member
- Sep 1, 2016
- 71
- 42
Sawa, ila uache kuandika ujinga. Usimfananishe Mavoko na wapumbavu wenzioOi mbona unapenda sana kukandia nyuzi zangu si mara ya kwanza hii, mimi mbona nyuzi zako na post zako na reply vizuri tu
Tuliza mshono kama vipi alafu fuata yako usipende kuniamuru niandike nini Kenge mkubwa wewe
Kwa hiyo mm mpumbavu siyo??Sawa, ila uache kuandika ujinga. Usimfananishe Mavoko na wapumbavu wenzio
Ukipost ujinga lazima nikwambie, siwezi kuacha upotee dogo mtanashatiKwa hiyo mm ******** siyo??
******** mama yako mzazi ,tena **** la mamako aliye keketwa tena na usipende kunifatilia hata kidogo ukiona nimepost ujinga pita pembeni sijakuita uje uchangia Mkundu wa bibi yako kabisa
Too much bhana mm mbona huwa unaandika ujinga sehemu nyingi ila mimi huwa nakufichia ujinga wako na huwa na kupa like sijawahi hata mara moja kuandika negative kuhusu weweUkipost ujinga lazima nikwambie, siwezi kuacha upotee dogo mtanashati
Na kama ni ujinga basi kura zote zingeangukia upande mmoja ,sasa we hujiulizi kwa nini wengine wamemchagua rayvan basi ingekuwa ujinga wote wangemchagua raymondUkipost ujinga lazima nikwambie, siwezi kuacha upotee dogo mtanashati
Kwahiyo wewe mnafiki? Mtu akizingua mchane ndio uanaume huo sio kukaa na kitu moyoni. Hao waliomtaja Raymond itakuwa walikuwa jela wamekuja uraiani wamekuta hivyo vitoto ndio vinasikika, na hawakuwa wanamjua Mavoko kabla ya kuja Wasafi, pia wanakaujinga ka kutokufatilia.Na kama ni ujinga basi kura zote zingeangukia upande mmoja ,sasa we hujiulizi kwa nini wengine wamemchagua rayvan basi ingekuwa ujinga wote wangemchagua raymond
Usirudie tena kuniandikia ujinga tutaendelea kupishana kauli kila siku
Pamoja sana nimekupata[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]Kwahiyo wewe mnafiki? Mtu akizingua mchane ndio uanaume huo sio kukaa na kitu moyoni. Hao waliomtaja Raymond itakuwa walikuwa jela wamekuja uraiani wamekuta hivyo vitoto ndio vinasikika, na hawakuwa wanamjua Mavoko kabla ya kuja Wasafi, pia wanakaujinga ka kutokufatilia.