Nancy Sumari is officially Mrs. Neghesti

Nancy Sumari is officially Mrs. Neghesti

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Haya jiko lishachukuliwa na mwenyewe jamani.....Alililililili....

She looks stunning aisee, Klynn alinidisappoint flani ila Nancy amewaka jamani. Mrembo wa Afrika katendea haki title hadi kwenye wedding. Haya sasa Zuri ataftiwe mdogoake fasta.

Swali la kichokozi: Nakaaya yukwapi jamanii? Au Mange alisemaga ukweli kuwa haziivi?

IMG-20160701-WA0022.jpg.jpeg


IMG-20160701-WA0025.jpg.jpeg


IMG-20160701-WA0026.jpg.jpeg


IMG-20160701-WA0024.jpg.jpeg


IMG-20160701-WA0023.jpg.jpeg


Uliisoma hii? Hatimaye yamekuwa: Nancy Sumari anaolewa na Lucas
 
Mbona kama usariver hapo, zamani tanzanite!
 
Back
Top Bottom