nancydeCOmmiter1
New Member
- Aug 23, 2013
- 1
- 0
Karibu sana JF mgeni, wewe MMU na Chit Chat panakufaa sana.bila kushawishiwa na aidha mtu fulani,watu fulani,chama fulan au kikundi fulani,nimeamua kujitosa rasmi humu kwa ajili ya mambo fulanifulani,akina fulani nikaribisheni basi ili fulani anijue mimi sikuja kwa mambo fulani....ahahaaa thanx all izo mbwembwe flan tu za ujio wangu.SWALI WE FLAN UNAHIS ME NAFIT FORUM IPI?,NAMBIENI JAMAN AKINA FLAN ILA MADONGO FLAN SITAK ME NDO KWANZA MGEN.