Nandy acha ushamba, Bukoba na Passport?

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Nilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa.

Sasa jaman Like seriously Bukoba unaenda na passport ? What for? Kitambulisho huna au ndo show off zisizokua na mbele wala nyuma, na hata kama uliamua kutumia passport ni Sawa huko kuishika mkononi na kujishaua nayo kitu gani ? Mxieew passport yenyewe ya Zamani, hata hainogi kupiga nayo picha tena, mwanamke punguza ulimbuken bwana, pesa unazo , kipaji unacho na uzuri unao, hayo mambo mengine yakupitege bwana na wewe , mxiew zako

Wanazengo Nandy ana show Uko Bukoba ukweni, nendeni kesho mkamsuport bidada, huwa kanajitahid sana kwa kweli
mixee
 
Passport ni utambulisho/kitambulisho, hivyo sioni kama kuna tatizo hapo. Vitu vingine kwa wenye akili wanakausha tu, sijaona mantiki ya kuzungumzia passport.
 
Katoka nje ya nchi inaitwa bongoland... Nchi ya kusadikika ya wagagagigikoko
 
I believed the US was the only safe, clean, nice country with freedom until I went to London and Canada. Life was very similar and the world was not
horrible outide of the US it is all about when you like. I also loved in Japan for 4 years but I was young when both my parents were doing military stations.
 
Hivi unaposikia neno kitambulisho unaelewa nini?
 
Passport ni utambulisho/kitambulusho, hivyo sioni kama kuna tatizo hapo. Vitu vingine kwa wenye akili wanakausha tu, sijaona mantiki ya kuzungumzia passport.

Kama passport ingekua kitambulisho kama unavyosema kusingekua na haja ya vitambulisho vya utaifa , we nae mshamba vile vile tu mxieew
 
Hivi unaposikia neno kitambulisho unaelewa nini?

We mbweha kuna kitambulisho na hati ya kusafiria, kama vingekua sawa kusingekua na haja ya kuweka kitambulisho cha taifa na passport tofauti, mbweha wewe Rudi shule mbwa hii
 
Mi yote hayanihusu ila nimependa miwani yake vioo vyake utafikiri vioo vya mbele vya lendi lova.
 
Katoka nje ya nchi inaitwa bongoland... Nchi ya kusadikika ya wagagagigikoko
Kaka mkubwa na huku pia unapitaga kumbe nisha kuzoe mtaani kwetu kule !!!!!(habar na hoja mixer)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…