Mkuu kiba katoa nyimbo mbili moja inaitwa alo pamoja na yalaiti na zote zimeshindwa kufanya vizuriKiba ana wimbo gani, mbona wewe ndo una husda na chuki mzee [emoji3]
Ikumbukwe kuwa msanii na chawa maarufu nchini Baba Levo, alimwambia Nandy kuwa akishika namba moja na kumpita Diamond amuite Mbwa.
View attachment 2898795
Nini maoni yako?
safari hi mond Kaya vagaa, video ime kuwa sponsored ila still hamna kitu.Mbio za sakafuni mkuu..
Tena kumbuka ukifika juu kifuatacho ni kudondoka..
Hiyo ngoma yake pamoja na kuilipia youtube ili itembee lakini wapi!
Banda hali toshi, maana kila siku ana zidi kuwa mbwaππ€£Maoni yangu, tumjengee baba levo banda la nje maana kashageuka kuwa mbwa...
Nyie mmejitoa sio na International collabo π π ambayo ina hit kondegang hq pekee yake. Mwaka jana D voice kawapa za uso album ipo kapuni, mwaka juzi napo Mbosso Khan Ep ikawapa tena za uso. Ss mmebaki kujipa ukupe msafiri na kiki za watusafari hi mond Kaya vagaa, video ime kuwa sponsored ila still hamna kitu.
Hey Malcom, jamani nimefurahi kukuona ulipotea sana. Naamini uko vizuri, karibu tena.Diamond Platnumz ni mfanyabiashara mkubwa, hata akipotea kimuziki hawezi kurudi Tandale. Hata hivyo mimi namvulia kofia kwa kuweza kukaa kileleni kwa miaka zaidi ya 10 mfululizo kwenye nchi ambayo imejaa wanha, wapiga majungu na watu wa husda.
Kwahiyo kwa kifupi nandy ndio aliyempeleka kiba trending no 1 coz kiba hajawahi kushika namba moja youtube, kifupi sasa hivi nandy yupo juu ya hao woteπππMkuu kiba katoa nyimbo mbili moja inaitwa alo pamoja na yalaiti na zote zimeshindwa kufanya vizuri
mtoa mada amesema Kiba kampiga vijembe mond wakati wimbo si wake ndio nimesema wimbo ni wa Nandy kiba anapata nguvu gani ya kupiga vijembe wakati nyimbo zake mbili zote alizotoa mwaka huu hazijafanya vizuriKwahiyo kwa kifupi nandy ndio aliyempeleka kiba trending no 1 coz kiba hajawahi kushika namba moja youtube, kifupi sasa hivi nandy yupo juu ya hao woteπππ
Thanks Prishaz, Happy New Year!Hey Malcom, jamani nimefurahi kukuona ulipotea sana. Naamini uko vizuri, karibu tena.