Nandy amlilia Ruge, aonyesha mjengo alikuwa anamjengea

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Msanii wa Bongo Fleva ameonyesha bado ameshindwa ku move on kutokana na kufiwa na aliekuwa mpenzi wake na boss wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba.
Kupitia Instagram Nandy amepost Nyumba iliyokuwa mwanzoni anajengewa na Ruge Huku pia akionyesha alivyommiss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyumba ilitisha watu.. nandy kwa muziki gani na show gani ajenge nyumba , abadilishe magari kila siku..

watu wameimba muziki miaka na miaka wanajua biashara ya muziki ilivyo..

diamond anaonekana shoo zake za nje daily...

ila nandy fasta fasta wadau walijua bosi ruge anamwezesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…