Nandy amlilia Ruge, aonyesha mjengo alikuwa anamjengea

Mbeleeeni huko... Utasikia nilijenga kwa nguvu zangu blah blah kibao
 
Nyuma ya mafanikio ya baadhi ya dada zetu walio wengi ,basi ujue kuna danga la nguvu .Ila ndio nimekuja kugundua kwa nini watoto wakike ni wachache wanaotusua kwenye mziki.
It's nature....wanawake siku zote hutegemea wanaume kuendesha maisha yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…