Nandy amsifia Zuchu

Nandy amsifia Zuchu

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Msanii Nandy asifia uwezo wa Zuchu kimziki "Mimi Kama mwanamziki inaweza kuwa ngumu kusifia kazi za mwenzangu lakini kwa Zuchu kiukwel anajua Sana, Cha msingi ajitahidi kufanya vizuri atafika mbali Sana maana Mimi Ni mshabiki wake pia"

Ikumbukwe pia nandy na Zuchu walikuwepo wote kwa pamoja kwenye shindano la Tecno own stage lililofanyika nchini Nigeria chini ya majaji sauti sol na Yemi alade, Na kwa East Africa Ni wao pekee ndio waliopata nafasi kushiriki.

NB: Naona Nandy ameonesha mature lakini amefuta kiasi fulani ile kauli ya wanawake kwa wanawake hawapendani ila kwa upande sijawahi kuona msanii akimsifia msanii mwingine especially kwa wanawake hii ni Mara ya kwanza.
 
Huyu zuchu mfanyeni tu awe overrated tu muda utaongea wacha tuone kutoka sio kazi kazi ni kumaintain hii game ya Bongo flavor sio kitu rahisi kama watu mnavyo mtarajia nyie.
 
Anajua kuimba kiasi ila yupo overrated sana...

Toa nembo ya WCB, unadhani angeweza fika kirahisi alipofika kwa wimbo kama "Wana"
Ngoma mbona ni Kali Sana na vocal yake ipo on point sema tu wewe upendi aina ya huo mziki lakini huo wimbo ni mzuri kuanzia uwimbaji,beat, Melody Hadi uandishi.
 
Msanii Nandy asifia uwezo wa Zuchu kimziki "Mimi Kama mwanamziki inaweza kuwa ngumu kusifia kazi za mwenzangu lakini kwa Zuchu kiukwel anajua Sana, Cha msingi ajitahidi kufanya vizuri atafika mbali Sana maana Mimi Ni mshabiki wake pia"

Ikumbukwe pia nandy na Zuchu walikuwepo wote kwa pamoja kwenye shindano la Tecno own stage lililofanyika nchini Nigeria chini ya majaji sauti sol na Yemi alade, Na kwa East Africa Ni wao pekee ndio waliopata nafasi kushiriki.

NB: Naona Nandy ameonesha mature lakini amefuta kiasi fulani ile kauli ya wanawake kwa wanawake hawapendani ila kwa upande sijawahi kuona msanii akimsifia msanii mwingine especially kwa wanawake hii ni Mara ya kwanza.
Wapare wana akili sana. Nandi , mange. Mshana. Etc
 
Ni kweli anachosema jamaa alikuwa wasafi hata ile sauti ya kike unayosikia ya wasafi ametengeneza nandy ila nandy aliondoka wasafi kutokana na kupigwa benchi muda mrefu ingawa sio Kama benchi alilopigwa zuchu.
 
Ngoma mbona ni Kali Sana na vocal yake ipo on point sema tu wewe upendi aina ya huo mziki lakini huo wimbo ni mzuri kuanzia uwimbaji,beat, Melody Hadi uandishi.

Wimbo sio mbaya ila sio mkali kiasi cha kulinganisha na breakthrough songs za wasanii mnaomlinganisha nae

Wana utailinganisha na nayule ya Ruby au closer ya vanessa ???....

Hiyo EP yake ina ngoma kali kama closer, come over, nobody but me, Siri au hawajui za vanessaa

She is overrated !!!!..
 
Back
Top Bottom