Umefikiria wa nasaba yako?Hawanaga akili hawa....kama kuku tu....nikuwapotezea
GoodHuyu Joh is ma friend..... Ila hakuna ubaya demu amesha lipiwa ticket go and return who care?
Nimezungumzia wasanii wa kibongo...Umefikiria wa nasaba yako?
[emoji2398]
Kenya alienda kwa issue za Coke studioKila msanii anaenda kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya nandy akiwa amechora tatoo ya gavana wa mombasa bwana Joho....
Jee inamaama wapo kwa mahusiano?hivi joho si anaye mpenzi!
Ijapo haijathibitika rasmi ila joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Omy dimpoz au hata kibaView attachment 1019126
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisha wauliza Omy dimpoz na Ali kiba tunaomba ulete jibu humuKila msanii anaenda kenya kwa sasa kulikoni?
Hii ni picha ya nandy akiwa amechora tatoo ya gavana wa mombasa bwana Joho....
Jee inamaama wapo kwa mahusiano?hivi joho si anaye mpenzi!
Ijapo haijathibitika rasmi ila joho anapaswa aweke wazi au tumuulize rafiki yake wa karibu ambaye ni Omy dimpoz au hata kibaView attachment 1019126
Sent using Jamii Forums mobile app