Wakenya wameapa kama watakutana na Willy Paul Mbinguni wataomba wahamishiwe motoni .
....
Nandy ni mtoto wetu mzuri huku bukoba ila hizi picha na mwimbaji wa Injili wakenya wanasema sio halisi ni za kutengeneza.
Ulijifunza wapi uandishi?
Mkuu Tubutupu hata wewe?. Yes Nandy ni mtoto wetu mzuri, ila ndio huku kwenye jukwaa la siasa?!Nandy ni mtoto wetu mzuri huku bukoba
Ha ha ha ha uyu uyu profeseli anaetetemeka kwa mkulu??Nina PHD kama ya kabudi.
Af KeupeKanandi kazuri
Asante mtoa mada hii picha ya kwanza nimeiyelewa sana. Ubarikiwe, Mungu akuzidishie ulipotoa.Wakenya wameapa kama watakutana na Willy Paul Mbinguni wataomba wahamishiwe motoni .
Willy Paul amekua mwimbaji wa Injili huko kenya.
Haya ndio matatizo ya kuimba Injili hata kanisa hujui lipo wapi.. nywele huchani na kujifanya mtoto wa mujini.
Nandy ni mtoto wetu mzuri huku bukoba ila hizi picha na mwimbaji wa Injili wakenya wanasema sio halisi ni za kutengeneza.View attachment 1117083View attachment 1117084
Bwana mkunaji limemkuta Pele.....
Unadhan itakuwa anatafuta nini....#hapo alipopashika nandy yaani chini ya mkanda anatafuta nini?
Yan kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Pele linakaribia kuota usaha[emoji3][emoji3]