Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Sijali Sijaona anamzungumza baba yake.
SIJALI SIJAONA ALIPOTEMBELEA MAKTABA
Sijali Adam Sijaona mtoto wa Lawi Nangwanda Sijaona ametembelea Maktaba na tumejaliwa kufanya mazungumzo kuhusu baba yake.
Sijali amerithi hazina kubwa sana ya nyaraka na picha adim za harakati ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sijali ana katiba ya African Association, kadi ya African Sports na stakabadhi ya African Association vitu ambavyo hata picha hakuna.
Namshukuru Sijali kwa kukubali kufanya mazungumzo nami akimweleza baba yake Nangwanda Lawi Sijaona.
View: https://youtu.be/BooiUcmjvIU?si=vURJDkoe8bQxMnoS
SIJALI SIJAONA ALIPOTEMBELEA MAKTABA
Sijali Adam Sijaona mtoto wa Lawi Nangwanda Sijaona ametembelea Maktaba na tumejaliwa kufanya mazungumzo kuhusu baba yake.
Sijali amerithi hazina kubwa sana ya nyaraka na picha adim za harakati ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sijali ana katiba ya African Association, kadi ya African Sports na stakabadhi ya African Association vitu ambavyo hata picha hakuna.
Namshukuru Sijali kwa kukubali kufanya mazungumzo nami akimweleza baba yake Nangwanda Lawi Sijaona.
View: https://youtu.be/BooiUcmjvIU?si=vURJDkoe8bQxMnoS