Vitano mkuu 😀
Tuanzie hapa mkuu
mjukuu wa huyu babu, baba ni mtoto wa huyu babu.
Hivyo baba hapa ni wawili, upo?
Mtoto wa huyu babu ana mtoto ambaye ni mjukuu wa huyu babu.
Babu(baba), baba (mtoto wa babu) na mtoto (mjukuu)
Hapo imekaaje? viti vitatu ama?
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Mtu mmoja alikuwa ndani ya nyumba yake. Ghafla wakaja wageni kadhaa. Katika wageni hao kulikuwa na wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja. Ikiwa jamaa (mwenyeji) anataka kukaa nje na wageni wake wote, Je atatoka na viti vingapi?
Welcome guys!!!
Mimi nakurupuka na kusema viti saba.
Wababa wawili =viti viwili
Babu mmoja = Kiti kimoja
Watoto wawili = Viti viwili
Mjukuu mmoja= Kiti kimoja
Mwenyeji wao = Kiti kimoja
Jumla viti= SABA
kiti kimoja tuuu jamani
Kwani lazima atoke na viti? Si achukue jamvi au mkeka wakae wote?
wababa wawili, watoto wawili, babu mmoja na mjukuu mmoja