ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Jibu zuri.
Peke yake?
Kwanaza umeuliza "nani ajiuzulu",kama ulitaka zaidi ya hao si ungeuliza 'nani wajiuzulu?
Well,waziri wa nishati Zanzibar,mkurugenzi wa TANESCO zanzibar,Na area manager wa TaNESCO pamoja na karume
Wengine wote sawa Isipokuwa Karume, hili wala siyo Zanzibar peke yake ndivyo mashirika ya umeme yanavyofanya kazi Tanzania. Wenyewe wakiona umeme unawaka basi ni raha mstarehe hakuna mantanance wala nini. Kwani bongo mara ngapi mitambo/over voltage nk vimetokea ukifuatilia ni uzembe wa shirika?
Hapa ni Mkurugenzi wa Tanesco Zanzibar wa kwanza na Area Manager, Waziri pia kwa kushindwa kuwawajibisha baada ya kugundua hilo swala.
Rais labda tu kwa kutomtimua waziri wake, lakini hapa tutakuwa mbali sana. Labda kama tumepata kisingizio cha kusolve suala la Muafaka
naam hapa a;au tunazungumza mambo kiutuzima sio kulishana kasa kama anavotaka kutufanyua Mwiba wa shokishoki usiochoma.
haya masuali ya uzembe tanzania yameota nabu kila idara. Wakati umefika kutokuoneana haya. anaehusika kwa uzembe hata awe shemeji awajibishwe. ili liwe funzo kwa wengine
na kila mtu atimize wajibu wake
Kwanaza umeuliza "nani ajiuzulu",kama ulitaka zaidi ya hao si ungeuliza 'nani wajiuzulu?
Well,waziri wa nishati Zanzibar,mkurugenzi wa TANESCO zanzibar,Na area manager wa TaNESCO pamoja na karume