Adam na Hawa,baada ya kula lile tunda waligundua kuwa wako uchi ndio wakaanza kujifunika na majani sehem za siri,from there imekuwa ni evolution tu yaani mwendelezo wa nini na jinsi ya kuvaa.kutokana na mazingira(hali ya hewa),culture etc kuna jamii hadi leo wanavaa majani au magome ya miti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.