Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Nimeona siku hizi hii kitu ikitrend, wauzaji wa vyakula hapa mjini wanauza chakula aina ya Biriani siku ya Ijumaa na Jumapili tu.
Je, ni nani alianzisha huu utaratibu? Kwanini Biriani haliuzwi siku nyinginezo?
Je, ni nani alianzisha huu utaratibu? Kwanini Biriani haliuzwi siku nyinginezo?