IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Ukifuatilia dhana ya kidunia utagundua kuna uongo mkubwa sana juu ya matumizi na kuanzishwa kwa pesa...
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+, Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa
Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa
Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwanini wazungu wanatudanganya?
Middle East ndio walianza kutumia pesa au mmesahau Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana
Karibu tujadili pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia kwa wasomi wanasema pesa imeanza kutumika kuanzia Miaka ya 1870+, Hii ni baada ya mapinduzi ya viwanda.
Na nimeambiwa waingereza ndio taifa la kwanza kuanza kutumia pesa
Lakini napatwa na ukakasi juu ya hizo za kisomi ambazo wengi humu jf mnaziamini baada ya kudanganywa na wazungu...
Hoja yangu ya msingi ni kwamba ukifuatilia mtazamo wa kidini mfano biblia ukifuatilia kitabu cha luka19 utakutana na jina la mtoza ushuru Zakayo kumbuka alikuwa anatoza pesa..ukimsoma zakayo anaelezwa alikuwa tajiri wa Mali na pesa
Pia Qurani inameeleza kiunaga ubaga kuhusu dhambi ya riba surah Al baqarah 2 surah 275 utaona dhambi ya riba...
Hivi vitabu vilianza kabla ya 1870+ swali la msingi kwanini wazungu wanatudanganya?
Middle East ndio walianza kutumia pesa au mmesahau Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande30 vya pesa?
Katika hili lazima tutafakari na kupeana majibu ya maana
Karibu tujadili pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app