Nani alikutoa UTEPE wewe?


hivi kumbe funzadume kwa maajuza hajambo eeeeeeehh!
 
Acha kudhalilisha na kutukana watu.
Je umemuona akiwa jim ana ji scratch kwenye baiskeli?
Sidhani kama ur among great thinkers.
mpe mpe uyo ......mjaze ajazike!!!!!1
ndo mana anaitwa funza
ntampeleka yeye gym!!!!.na wewe finest kusema upo 24 7 kwan umeulizwa?
na wewe askofu kutaka kujua ikitoka apo inaenda wap ili iweje?nini ikitoka apo?moyo?miguuu?moyo ukitoka gym unaenda kanisan kumwomba mungu na kuwaombea maaskofu hasi km wewe!!!
bwana awe nawe na uende kwa aman amen
 

magulumangu, utepe upi huo?si unajua idadi imeongezeka siku hizi aagghrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!
 
Afu we naona kama ulikunywa sasa Konyagi ndo inakudhuru. Babu naye alikuwa sio mchoyo anakupa baskeli yake na wewe unaiendesha tu! Daasa la saba etieeeeeeeeee!
 
sikuwa na maana mbaya maana yangu ni kuwa mtu aliyekukata utepe huwezi kumsahau na ukimwona unakumbuka siku ya kwanza sasa kwa kuwa wewe baiskeli ndio ilikata uzi nikajua ukiiona moyo unasisimka kwa raha:becky::becky:
 
Acha kudhalilisha na kutukana watu.
Je umemuona akiwa jim ana ji scratch kwenye baiskeli?
Sidhani kama ur among great thinkers.
great thinkers wako kwenye siasa sio hapa halafu sijamdharirisha mtu wenyewe tunajuana sio unakurupukia tu kitu kaka sijui dada
 
hivi kumbe funzadume kwa maajuza hajambo eeeeeeehh!
mie binadamu yoyote wa kike sijuvungi ili mradi awe anatafunika kisheria mie nakula tu hata akiwa kanizidi umri mara 3 ya kwangu ili mradi awe na ile kitu tu
 
me imetoka nkaweka ingine ,ikatolewa nkaweka nyingine.ikatoka nkaweka tena asa zote niliibia watu so sijui ni mkumbuke nani,ninachojua ni list tu ila suala lenyewe kwakweli sina cha kusema.
 
me imetoka nkaweka ingine ,ikatolewa nkaweka nyingine.ikatoka nkaweka tena asa zote niliibia watu so sijui ni mkumbuke nani,ninachojua ni list tu ila suala lenyewe kwakweli sina cha kusema.

ile origino aliitoa nani?ndo swali hilo!je ikitoka unaweka nyingine au unabandika nyingine?
 
Mi demu wangu wa kwanza nilipokuwa darasa la saba, demu alikuwa muuza ashkirimu.. magomeni pale
 
I wish ningepata jibu-haswa jinsi watu wanavyotumia mbinu kuwakata tepe zao mabinti, nikawaeleza ma binti zangu jinsi ya kuwakwepa.
Kuna dada aliitwa na boy friend wake(wote wa kanisani na wanaaaminiana na wameishakubaliana kuwa tendo ni mpaka siku ya ndoa) eti amsaidie nguo anaumwa mkono,dada kwa upendo akakubali,baadae akampa towel yake ili suruali yake(dada)isilowe,aliporudi ndani jamaa kazi ilikuwa kwenye chupi tu,maana kataulo kalikuwa ni ka kuzogeza,baadae akamuomba msamaha eti shetani alimpitia tu,dada wa watu akaishia kwenye mimba na utepe ukawa umeondoka.
 
me imetoka nkaweka ingine ,ikatolewa nkaweka nyingine.ikatoka nkaweka tena asa zote niliibia watu so sijui ni mkumbuke nani,ninachojua ni list tu ila suala lenyewe kwakweli sina cha kusema.
Joyce Paul habari za siku? brother wako hajambo? nakujua mnooo
 
me imetoka nkaweka ingine ,ikatolewa nkaweka nyingine.ikatoka nkaweka tena asa zote niliibia watu so sijui ni mkumbuke nani,ninachojua ni list tu ila suala lenyewe kwakweli sina cha kusema.

Njoo nikuweke ya Mchina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…