Nani alikutoa UTEPE wewe?

Dah ila hii topic imekaa kimagumashi kweli:becky::becky::becky::becky::becky::becky:
 
sidhani kama inakuhusu, we wa ajabuuuu:mad2::glasses-nerdy::becky::eyeroll2:
 
Dah! Pamoja na Ukali nk, Iki imagine That first Game! Mh, things comes and go...............................wangapi bado wako na waliowatoa utepe? Je waliachana vipi? Walionao still, wanajisikiaje nk? Ni vimaswali vyaweza mkera fulani and kumpa smile fulani................
:mad2::A S 8:
 
Nipo kibangu nafanya kampeni........kama ni mapenzi yameshaisha....iliimbwa na nani hiyo?
 
shost nenda mwaya!!!
ahh baiskel mwenyewe kwa raha zako.....haina ukimwi,haina usumbufu wala hailet mimba n its 24 7 available!!!!!1
kajipe raha!!!!!
...Kwa hiyo ukidandia baiskeli unanyonga huku unaburudika?? ukishuka hapo jasho kila mahali umelowa.......:A S 8::A S 8:
 
Duh UTEPE upi ule wa kuzindua Majengo, barabara au ligi za mpira???
 
husinikumbushe,

sijapata ile raha hadi leo

nilikuwa darasa la tano

nilishawishiwa lakini baadaye ni kayona maraha,we acha tu
 
i still have my utepe, no one has taken or removed it 😛layball:
 
...sijakuelewa labda unamaanisha kuwa nani atakuwa mshindi mwaka huu kwenye uchanguzi,hebu tuelekezeni fikra zetu kwenye mambo ya msingi kwanza kuokoa taifa letu haya mengine tuayaache kwanza yana muda wake jamani, au siyo wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…