Nani alimdanganya Uhuru Kenyatta kuwa corona inaenezwa usiku tu?

Nani alimdanganya Uhuru Kenyatta kuwa corona inaenezwa usiku tu?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Curfew amli ya kutotoka nje usiku unatekelezwa usiku katika miji kadhaa nchini Kenya ili kupambana na corona wakenya wanaruhusiwa kifanya yote mchana ila kuanzia saa 12jioni hadi 12 asubuhi wawe ndani ya nyumba zap ,inamaana rais wa Kenya anaamini wakenya watambulizana corona usiku tu .

Hii inamaana kuwa watu watakuwa wanapata corona mchana na usiku wanakuja kuambukizana wakiwa nyumbani, hii inatofauti gani na kuwaruhusu wapige kazi tu kama kawaida

Mpka sasa Kenya ndio inaidadi kubwa ya wagonjwa na vifo huku wagonjwa wakiongezeka kila siku na inadaiwa haina uwezo wa kiwapima wakenya wote na kuna idadi kubwa ya wakenya wanaokataa kupimwa kwa kuhofia kuwekwa karantini na wataalamu wasema itachukua miaka zaidi ya kumi kwa taifa hilo kupima watu wote

Swali :nani alimdanganya rais Kenyatta kuwa corona inaenezwa usiku tu?

USSR
 
USSR,

Leo kwenye hotuba yake amesema wataalamu wake ndio wamempa huo ushauri,

Unless ndugu USSR uwe na akili na maarifa kuliko wataalamu wote wa kenya

What I see ni kuwa Wakenya wameamua kudeal na korona kwa aina yao kama ss Tulivyoamua kwa aina yetu.
 
Leo kwenye hotuba yake amesema wataalamu wake ndio wamempa huo ushauri,

Unless ndugu USSR uwe na akili na maarifa kuliko wataalamu wote wa kenya

What I see ni kuwa Wakenya wameamua kudeal na korona kwa aina yao kama ss Tulivyoamua kwa aina yetu
Watalaam wamemwambia kuwa corona mchana haienezwi sio W.H.O na pia yeye hatumii zake
 
Acheni upumbavu wa kujaribu kutuambukiza usanii wenu kwenye masuala ya 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Curfew imekuwepo Kenya tangia mwisho wa mwezi wa tatu na hii extension ya leo ni ya pili tangu amri hiyo itangazwe. Lengo la curfew ni kuzuia ukiukwaji wa maagizo ya wataalamu yanayohusiana na kuzuia maambukizi ya COVID-19, usiku giza linapoingia. Hiyo ndio ilikuwa taswira hapo awali Kenya ilipopata kesi za kwanza za kirusi hicho. Wananchi walikuwa wanazingatia maagizo yote mchana, jambo ambalo linaendelea nchini Kenya hadi sasa hivi. Kama marufuku ya mikusanyiko na ibada makanisani/misikitini, kufungwa kwa bar na sehemu za burudani, kuvalia barakoa, kuzingatia social distancing na kunawa mikono ,ila ikifika usiku wanarudi kwenye hali zao za kawaida. Curfew haipo tu nchini Kenya ipo pia Uganda, Saudi Arabia, Argentina, Algeria, Bahrain n.k. Najua mmejikita kwenye kueneza propaganda kwasababu hamjiamini kwenye maamuzi mliyoyafikia, ya kupuuza ushauri wote wa wataalamu na kutangaza kwamba mna kesi nne tu.
 
Acheni upumbavu wa kujaribu kutuambukiza usanii wenu kwenye masuala ya 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Curfew imekuwepo Kenya tangia mwisho wa mwezi wa tatu na hii extension ya leo ni ya pili tangu amri hiyo itangazwe. Lengo la curfew ni kuzuia ukiukwaji wa maagizo ya wataalamu yanayohusiana na kuzuia maambukizi ya COVID-19, usiku giza linapoingia. Hiyo ndio ilikuwa taswira hapo awali Kenya ilipopata kesi za kwanza za kirusi hicho. Wananchi walikuwa wanazingatia maagizo yote mchana, jambo ambalo linaendelea nchini Kenya hadi sasa hivi. Kama marufuku ya mikusanyiko na ibada makanisani/misikitini, kufungwa kwa bar na sehemu za burudani, kuvalia barakoa, kuzingatia social distancing na kunawa mikono ,ila ikifika usiku wanarudi kwenye hali zao za kawaida. Curfew haipo tu nchini Kenya ipo pia Uganda, Saudi Arabia, Argentina, Algeria, Bahrain n.k. Najua mmejikita kwenye kueneza propaganda kwasababu hamjiamini kwenye maamuzi mliyoyafikia, ya kupuuza ushauri wote wa wataalamu na kutangaza kwamba mna kesi nne tu.
Wacha kupoteza nguvu zako kwa kutetea upumbavu wenu, nchi nyingi ambazo hazipo katika lockdown na curfews za kijinga kama Zambia, Msumbiji na zinginezo, idadi ya maambukizi ama ipo chini au inalingana na Kenya, wastani wa watu wanaopimwa kwa siku haitofautiani na Kenya.

Wakenya wenzako wenye akili hawa hapa, au hawana akili zaidi yako kwasababu wewe ni mkikuyu/Jaluo?
Kenyans Rush Behind Magufuli as COVID-19 Situation Worsens in the Country
 
Wamesogeza mbele Sasa HV no kuanzia saa tatu usiku Hadi saa kumi alasiri..it's like hakuna kinachofanyika. Ni njia tu mojawapo ya kukufanya kuwaunga mkono mabeberu ata kishingo upande
 
Acheni upumbavu wa kujaribu kutuambukiza usanii wenu kwenye masuala ya 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Curfew imekuwepo Kenya tangia mwisho wa mwezi wa tatu na hii extension ya leo ni ya pili tangu amri hiyo itangazwe. Lengo la curfew ni kuzuia ukiukwaji wa maagizo ya wataalamu yanayohusiana na kuzuia maambukizi ya COVID-19, usiku giza linapoingia. Hiyo ndio ilikuwa taswira hapo awali Kenya ilipopata kesi za kwanza za kirusi hicho. Wananchi walikuwa wanazingatia maagizo yote mchana, jambo ambalo linaendelea nchini Kenya hadi sasa hivi. Kama marufuku ya mikusanyiko na ibada makanisani/misikitini, kufungwa kwa bar na sehemu za burudani, kuvalia barakoa, kuzingatia social distancing na kunawa mikono ,ila ikifika usiku wanarudi kwenye hali zao za kawaida. Curfew haipo tu nchini Kenya ipo pia Uganda, Saudi Arabia, Argentina, Algeria, Bahrain n.k. Najua mmejikita kwenye kueneza propaganda kwasababu hamjiamini kwenye maamuzi mliyoyafikia, ya kupuuza ushauri wote wa wataalamu na kutangaza kwamba mna kesi nne tu.
Marekani vp..bado wapo kwenye curfew?
Saudi Arabia to end curfew on June 21, except in Mecca
 
Wacha kupoteza nguvu zako kwa kutetea upumbavu wenu, nchi nyingi ambazo hazipo katika lockdown na curfews za kijinga kama Zambia, Msumbiji na zinginezo, idadi ya maambukizi ama ipo chini au inalingana na Kenya, wastani wa watu wanaopimwa kwa siku haitofautiani na Kenya.

Wakenya wenzako wenye akili hawa hapa, au hawana akili zaidi yako kwasababu wewe ni mkikuyu/Jaluo?
Kenyans Rush Behind Magufuli as COVID-19 Situation Worsens in the Country
Kwahiyo mchana ugonjwa hauenei? Mi siku zote nadhanimmefungia watu ndani kumbe kuna masaawanaenda kuotajua

By the way baba yenu mmarekani leo hana new case wala newdeath nanyi najua mtaiga
 
Acheni upumbavu wa kujaribu kutuambukiza usanii wenu kwenye masuala ya 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Curfew imekuwepo Kenya tangia mwisho wa mwezi wa tatu na hii extension ya leo ni ya pili tangu amri hiyo itangazwe. Lengo la curfew ni kuzuia ukiukwaji wa maagizo ya wataalamu yanayohusiana na kuzuia maambukizi ya COVID-19, usiku giza linapoingia. Hiyo ndio ilikuwa taswira hapo awali Kenya ilipopata kesi za kwanza za kirusi hicho. Wananchi walikuwa wanazingatia maagizo yote mchana, jambo ambalo linaendelea nchini Kenya hadi sasa hivi. Kama marufuku ya mikusanyiko na ibada makanisani/misikitini, kufungwa kwa bar na sehemu za burudani, kuvalia barakoa, kuzingatia social distancing na kunawa mikono ,ila ikifika usiku wanarudi kwenye hali zao za kawaida. Curfew haipo tu nchini Kenya ipo pia Uganda, Saudi Arabia, Argentina, Algeria, Bahrain n.k. Najua mmejikita kwenye kueneza propaganda kwasababu hamjiamini kwenye maamuzi mliyoyafikia, ya kupuuza ushauri wote wa wataalamu na kutangaza kwamba mna kesi nne tu.
Wakenya hawa hapa
President Uhuru Kenyatta Upsets Kenyans, Extends 'Lockdown' And Curfew
 
Acheni upumbavu wa kujaribu kutuambukiza usanii wenu kwenye masuala ya 'kaugonjwa kadogo ka Corona'. Curfew imekuwepo Kenya tangia mwisho wa mwezi wa tatu na hii extension ya leo ni ya pili tangu amri hiyo itangazwe. Lengo la curfew ni kuzuia ukiukwaji wa maagizo ya wataalamu yanayohusiana na kuzuia maambukizi ya COVID-19, usiku giza linapoingia. Hiyo ndio ilikuwa taswira hapo awali Kenya ilipopata kesi za kwanza za kirusi hicho. Wananchi walikuwa wanazingatia maagizo yote mchana, jambo ambalo linaendelea nchini Kenya hadi sasa hivi. Kama marufuku ya mikusanyiko na ibada makanisani/misikitini, kufungwa kwa bar na sehemu za burudani, kuvalia barakoa, kuzingatia social distancing na kunawa mikono ,ila ikifika usiku wanarudi kwenye hali zao za kawaida. Curfew haipo tu nchini Kenya ipo pia Uganda, Saudi Arabia, Argentina, Algeria, Bahrain n.k. Najua mmejikita kwenye kueneza propaganda kwasababu hamjiamini kwenye maamuzi mliyoyafikia, ya kupuuza ushauri wote wa wataalamu na kutangaza kwamba mna kesi nne tu.
Tangu mmeiweka imewasaidia nini zaidi ya kuongeza tatizo, mtu akitumia mbinu kubiliana na janga na bado haoni matokea chanya na bado akaendelea kuitumia njia hiyohiyo anaonekana kama taahira hivi
 
Wakenya ubishi utawamaliza
Wacha kupoteza nguvu zako kwa kutetea upumbavu wenu, nchi nyingi ambazo hazipo katika lockdown na curfews za kijinga kama Zambia, Msumbiji na zinginezo, idadi ya maambukizi ama ipo chini au inalingana na Kenya, wastani wa watu wanaopimwa kwa siku haitofautiani na Kenya.

Wakenya wenzako wenye akili hawa hapa, au hawana akili zaidi yako kwasababu wewe ni mkikuyu/Jaluo?
Kenyans Rush Behind Magufuli as COVID-19 Situation Worsens in the Country
 
Wamesogeza mbele Sasa HV no kuanzia saa tatu usiku Hadi saa kumi alasiri..it's like hakuna kinachofanyika. Ni njia tu mojawapo ya kukufanya kuwaunga mkono mabeberu ata kishingo upande
Njia ya kutafuta pesa za WB/IMF kenyatta alikuwa banker kabla hajaanza siasa
 
Seriously Wakenya wanalia hahaha
Sasa hawataki kukaa ndani kwao sijui wanataka kwenda wapi, akiii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Seriously Wakenya wanalia hahaha
Sasa hawataki kukaa ndani kwao sijui wanataka kwenda wapi, akiii [emoji23][emoji23][emoji23]
Waamie USA kwa Obama maana walimtukuza kama rais wao
 
Analenga
1. Ulevi uliopitiza.....USIKU
2. Kumbi za mziki na starehe bila mipaka .....USIKU
3. Watumiaji madawa nk

Kwa ujumla analenga pulkushani za starehere ambazo bupindukia ustaarabu
Nazo hufanyika USIKU ZAIDI.
 
Analenga
1. Ulevi uliopitiza.....USIKU
2. Kumbi za mziki na starehe bila mipaka .....USIKU
3. Watumiaji madawa nk

Kwa ujumla analenga pulkushani za starehere ambazo bupindukia ustaarabu
Nazo hufanyika USIKU ZAIDI.

Wachache sana wenye uelewa huu wako, maana usiku ndio full kujiachia bila tahadhari, ifahamike huku kwetu ukikutwa bila barakoa unakamatwa, sasa wengi usiku wanakatiza tu kwenye kiza hawajali.
 
Wachache sana wenye uelewa huu wako, maana usiku ndio full kujiachia bila tahadhari, ifahamike huku kwetu ukikutwa bila barakoa unakamatwa, sasa wengi usiku wanakatiza tu kwenye kiza hawajali.
Kuna wachache wenye uelewa wa aina hiyo. Hao wengine wengi waliosalia ni vinyangarika tu na hamna haja ya kujibizana nao. Acha waendelee kudhihirisha wazi kwamba ulofa wao ndio mtaji wa chama chao.
 
Kuna wachache wenye uelewa wa aina hiyo. Hao wengine wengi waliosalia ni vinyangarika tu na hamna haja ya kujibizana nao. Acha waendelee kudhihirisha wazi kwamba ulofa wao ndio mtaji wa chama chao.
If infections keeps on soaring, you have to change the strategy, lakini viongozi wenu,hawajiongezi.
 
Back
Top Bottom