Nani alimtoa bikra mke wako?

Sure
 
Sioni sababu ya msingi ya kuanza kutafuta kumlazimisha mwanamke aniambie aliye mtoa bikira,ili nini sasa ukijua? Watu walitolewa hiyo bikira na wakaendelea na wengine hawatamani kuwaona hao waliowatoa hiyo bikira,mi nacho angalia ananipenda vipi na tunasikilizana vipi pia maelewani yetu,maana pia mwanamke asihe na shida hana shida tu na anajulikana,na kipanga ni kipanga tu
 
katika ujana wangu hakuna kitu nlikuwa sipendi kama kukutana na mwanamke bikira…..nashkuru wote mlionisafishia njia.
 
Kijana kama unaishi na aliyetolewa bikra na mwengine ujue huyo ni mke wa mtu si mkeo.
 
Swali ninalojiuliza kila wakati, huyo mtu yu hai au keshatangulia mbele ya haki? Kama yupo hai kuna siku watakumbushia mchezo! Moyoni ninaumia kimya kimya kuwa nipo na mke wa mtu.
 
 
Ungebahatika kumpata Ziro IQ ungepata jibu mujarabu😅
 
Sure mkuu usaliti hautegemei umemtoa bikra ama la huyo malaya anaweza kutulia ndani ya ndoa pasipo kusaliti. Usaliti ni maamuzi tu haijalishi bikra ama sio bikra
 
mwongo
 
katika ujana wangu hakuna kitu nlikuwa sipendi kama kukutana na mwanamke bikira…..nashkuru wote mlionisafishia njia.
Uliwahi kukutana nao kweli mkuu isijekuwa unajipoza maumivu kwa kuoa mke wa mtu
 
Alitolewa wakati anaendesha baiskeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…